Waziri wa TAMISEMI fumua uongozi wote wa TARURA Mkoa wa Mara

koryo1952

JF-Expert Member
Mar 7, 2023
382
764
Wakandarasi karibu wote wa Mkoa wa Mara tumepata mateso makubwa kutokana na vitendo vya rushwa vinavyoendekezwa na Mameneja hawa. Kwanza kupata kazi lazima utoe millioni tano. Bila millioni tano hupati kazi.

Pili, kama ukiwa umepata kazi lazima utoe asilimia 10 ya malipo yako kama rushwa. Mfano kama mradi wako ni Tsh. Milioni 200 basi lazima utoe milioni 20 kama rushwa.

Wilaya iliyokithiri kwa vitendo vya rushwa ni Wilaya ya Tarime chini ya Meneja wa Wilaya hiyo. Mhe. Waziri wa TAMISEMI fumua uongozi wote wa Tarura Mkoa wa Mara. Wanatesa sana Wakandarasi.
 
Wakandarasi karibu wote wa Mkoa wa Mara tumepata mateso makubwa kutokana na vitendo vya rushwa vinavyoendekezwa na Mameneja hawa. Kwanza kupata kazi lazima utoe millioni tano. Bila millioni tano hupati kazi.

Pili, kama ukiwa umepata kazi lazima utoe asilimia 10 ya malipo yako kama rushwa. Mfano kama mradi wako ni Tsh. Milioni 200 basi lazima utoe milioni 20 kama rushwa.

Wilaya iliyokithiri kwa vitendo vya rushwa ni Wilaya ya Tarime chini ya Meneja wa Wilaya hiyo. Mhe. Waziri wa TAMISEMI fumua uongozi wote wa Tarura Mkoa wa Mara. Wanatesa sana Wakandarasi.
Tatizo siyo Meneja wa TARURA tatizo ni mfumo mzima umeoza, hatara umlete Philipo Mpango lazima atachukua tu rushwa, tudai katiba mpya tupate mifumo sahihi
 
Nimefuatilia Title deed yangu kwa miaka sasa na mtu mmoja akasema bila rushwa siwezi kupata wakati ni haki yangu.

Nimeamua kuwaachia mpaka hapo watakapoona wenyewe otherwise hii nchi ni rushwa kwa kwenda mbele kila sehemu.

Kama ni kufumua ni nchi nzima kuanzia CCM yenyewe. CCM kwa vile wako madarakani kwa rushwa hawawezi kukemea rushwa. CCM kuanzia sanduku la kura kwenda mbele ni rushwa bila aibu.
 
Wakandarasi karibu wote wa Mkoa wa Mara tumepata mateso makubwa kutokana na vitendo vya rushwa vinavyoendekezwa na Mameneja hawa. Kwanza kupata kazi lazima utoe millioni tano. Bila millioni tano hupati kazi.

Pili, kama ukiwa umepata kazi lazima utoe asilimia 10 ya malipo yako kama rushwa. Mfano kama mradi wako ni Tsh. Milioni 200 basi lazima utoe milioni 20 kama rushwa.

Wilaya iliyokithiri kwa vitendo vya rushwa ni Wilaya ya Tarime chini ya Meneja wa Wilaya hiyo. Mhe. Waziri wa TAMISEMI fumua uongozi wote wa Tarura Mkoa wa Mara. Wanatesa sana Wakandarasi.
Mkuu vipi huu ushauri wako umefanyiwa kazi?
 
Wakandarasi karibu wote wa Mkoa wa Mara tumepata mateso makubwa kutokana na vitendo vya rushwa vinavyoendekezwa na Mameneja hawa. Kwanza kupata kazi lazima utoe millioni tano. Bila millioni tano hupati kazi.

Pili, kama ukiwa umepata kazi lazima utoe asilimia 10 ya malipo yako kama rushwa. Mfano kama mradi wako ni Tsh. Milioni 200 basi lazima utoe milioni 20 kama rushwa.

Wilaya iliyokithiri kwa vitendo vya rushwa ni Wilaya ya Tarime chini ya Meneja wa Wilaya hiyo. Mhe. Waziri wa TAMISEMI fumua uongozi wote wa Tarura Mkoa wa Mara. Wanatesa sana Wakandarasi.
Niliomba kazi mwaka jana, nikaambiwa na mtu wa procurement nitoe Million 5 ili niweze kupewa kazi ya ukandarasi. Nikamwambia tuandikishane nikipata kazi tu nikupe million 5 yakoakakataa. Nikaomba tu wala sikupata kazi yenyewe
 
Wakandarasi karibu wote wa Mkoa wa Mara tumepata mateso makubwa kutokana na vitendo vya rushwa vinavyoendekezwa na Mameneja hawa. Kwanza kupata kazi lazima utoe millioni tano. Bila millioni tano hupati kazi.

Pili, kama ukiwa umepata kazi lazima utoe asilimia 10 ya malipo yako kama rushwa. Mfano kama mradi wako ni Tsh. Milioni 200 basi lazima utoe milioni 20 kama rushwa.

Wilaya iliyokithiri kwa vitendo vya rushwa ni Wilaya ya Tarime chini ya Meneja wa Wilaya hiyo. Mhe. Waziri wa TAMISEMI fumua uongozi wote wa Tarura Mkoa wa Mara. Wanatesa sana Wakandarasi.
Rushwa ni tatizo kubwa ambalo linaikabili serikali na taasisi zake. Kila taasisi ukifika ni chenga tu mpaka utoe rushwa ndio huduma inatolewa. Na kama hautakuwa tayari kutoa inabidi ujiandae kununua jozi nyingine za viatu. Maana kesho njoo zitakuwa nyingi kupitia maelezo.
 
Back
Top Bottom