Tunaishukuru Serikali yetu inatoa fedha nyingi sana kwa TARURA ili iendeleze barabara zetu hasa za Vijijini. Kwa mtindo wa sasa labda siyo wote unapotakiwa kupata kazi lazima utoe rushwa to the tune mpaka 4 millioni.
Ukiisha kupewa kazi kuna mgao wa Ofisi ya RM Mkoa na Ofisi ya TARURA wilaya na hi ni lazima uitoe mpaka asilimia 10 ya malipo ya mkandarasi.
Tatizo hili ni kubwa na wengi wa Wakandarasi hawana la kufanya. Kama nasema uongo fanyeni utafiti kwa Wakandarasi na hapa mtakuja kufahamu ukweli.
Ukiisha kupewa kazi kuna mgao wa Ofisi ya RM Mkoa na Ofisi ya TARURA wilaya na hi ni lazima uitoe mpaka asilimia 10 ya malipo ya mkandarasi.
Tatizo hili ni kubwa na wengi wa Wakandarasi hawana la kufanya. Kama nasema uongo fanyeni utafiti kwa Wakandarasi na hapa mtakuja kufahamu ukweli.