Pagan Amum
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 1,932
- 4,395
Rangi ya mikono ya Mama Mshumbuz inaonekana ni tofauti ni uso wake... Ebu mshauri shemeji yako aongeze bidii ya kunywa maji ili awe mweupe mwili mzimaNi lazima tukubali uharaka wa kusahihisha kosa hili unatia moyo; hakuna hata kuacha giza liingie. Ingekuwa ni madhara makubwa kama angeachwa kuendelea huko. Lakini kama suala ni la uraia hili halipaswi kuishia kwenye nafasi yake huku alikotengeliwa; vipi huko kwingine? Kuna maswali yanahitaji majibu na yajibiwe haraka vile vile kwa usahihi.
Rangi ya mtu mwingine wewe inakuhusu nini au mimi inanihusu nini? au rangi yako inamhusu nani?Rangi ya mikono ya Mama Mshumbuz inaonekana ni tofauti ni uso wake... Ebu mshauri shemeji yako aongeze bidii ya kunywa maji ili awe mweupe mwili mzima
Rangi ya mikono ya Mama Mshumbuz inaonekana ni tofauti ni uso wake... Ebu mshauri shemeji yako aongeze bidii ya kunywa maji ili awe mweupe mwili mzima
Total mess.
Mama is an illegal immigrant from Uganda.
Mama is an IT expert, with no executive experience in retirement fund area.
Mama's appointment contravened regulatory bodies laws which preclude appointments of executives to institutions they previously oversaw. NSSF is regulated by SSRA.
Kuna uzi ulikuwa ukimsifia kuwa ni mkristo mzuri sana
Naomba Huyu Jenista tumwite "Mkurupukaji"itv imetangaza kuwa ikulu Imetengua uteuzi wa dr Wangwe, kaimu mkurugenzi mkuu nssf
Sasa hapa tutabadilisha mada toka ya uteuzi kuwa ya uraia . Itakuwa vizuri kuanzisha thread ya uraiaWhat about a naturalisation appthron for a man married a Tanzanian woman?
Mhh, inawezekanaje haya? Yaani Waziri anafanya try and error kwenye masuala muhumui kama haya? Hivi inawezekana Serikali kutokuwa na taarifa za kutosha za mteuliwa kabla ya uteuzi? Nachoka kabisa!
Anyway, heri nusu shari kuliko shari kamili.
Tena huyu ndiyo akaomba mwongozo na kupiga keleke bungeni kwamba rais anakashifiwa kusema mawaziri wanafanya kazi kwa mizuks...akaishia kutafsiriwa maana ya mizuka.Kama sugu alivyosema mizuka tu
Tunza heshima yako KabokaKuna uzi ulikuwa ukimsifia kuwa ni mkristo mzuri sana