Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu atengua Uteuzi wa Kaimu Mkurugenzi wa NSSF

Rangi ya mikono ya Mama Mshumbuz inaonekana ni tofauti ni uso wake... Ebu mshauri shemeji yako aongeze bidii ya kunywa maji ili awe mweupe mwili mzima
 
‘’Success is the result of good judgment. Good judgment is usually the result of experience. Experience is usually the result of bad judgment.” – Anthony Robbins
 
Rangi ya mikono ya Mama Mshumbuz inaonekana ni tofauti ni uso wake... Ebu mshauri shemeji yako aongeze bidii ya kunywa maji ili awe mweupe mwili mzima
Rangi ya mtu mwingine wewe inakuhusu nini au mimi inanihusu nini? au rangi yako inamhusu nani?
 


Kwa nchi hii ilivyo na magumashi basi usishangae kusikia huyo Dr. wangwe alimpigia kura Magufuli katika uchaguzi wa 2015! Kweli Magufuli ni rais wa Magumashi!
 
Sisi ni binadamu kukosea ni kawaida cha msingi ni kukubali kujikosoa na kukosolewa
 
Mawaziri na makatibu wa wakuu katika wizara tulieni na muzielewe vizuri wizara zenu msikirupuke katika kufanya kazi
 
Mhh, inawezekanaje haya? Yaani Waziri anafanya try and error kwenye masuala muhumui kama haya? Hivi inawezekana Serikali kutokuwa na taarifa za kutosha za mteuliwa kabla ya uteuzi? Nachoka kabisa!

Anyway, heri nusu shari kuliko shari kamili.


Umesahau kuwa ni waziri wa kurithiwa toka awamu yenye mwendo wa kukurupuka
 
Mkurupuko at work. Yani utafikiri tunaigiza.
Ila hongera sana JF. Kwasababu mara baada ya uteuzi watu walushaanza kujadili na kuponda.
 
Having positive expectations from magufuli's regime is like to boil an empty vessel expecting to have soup
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…