Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu atengua Uteuzi wa Kaimu Mkurugenzi wa NSSF

Umakini wake uko wapi hapo,Leo hili mnaona do go kesho watatangaza raisi wenu kafa kwakukurupuka
Mkuu hujatumia lugha ya kungwana, kusema rais wenu? Means ww unarais wako, unaserikal yako, unajeshi lako, unamahakama yako... kuwa msaha kwa nchi yako.. rais john magufuri ni rais wa tz, na amiri jeshi mkuu wa mjeshi ya ulinzi na usalama, kazi hyo hajajipa yy, kapewa na wtz m8s ili awafanyie kazi.. wewe unasema rais wenu, aseee unapaswa kuchunguzwa akili vzr,
 
Mkuu hujatumia lugha ya kungwana, kusema rais wenu? Means ww unarais wako, unaserikal yako, unajeshi lako, unamahakama yako... kuwa msaha kwa nchi yako.. rais john magufuri ni rais wa tz, na amiri jeshi mkuu wa mjeshi ya ulinzi na usalama, kazi hyo hajajipa yy, kapewa na wtz m8s ili awafanyie kazi.. wewe unasema rais wenu, aseee unapaswa kuchunguzwa akili vzr,
Sababu sio raisi nilie mchagua na hskuchaguliwa na watanzania pia kura za milioni nane ni kura za ccm hata wao wanalijua hilo unanilazimisha upumbavu hambao haupo!!!!!kura million name alizisema mtoto was kikwete wtashinda ccm hats kbla ya kura kupigwa huyo raisi wenu ccm sio raisi was jamuhuri
 
dhambi ya kibaguzi!

Mama Wangwe (ndio jina maarufu tulizoea kumwita pale UCLAS enzi hizo) anayo tofauti gani na wale wanyasa na wamakonde waliolowea miaka ileee leo wanajidai leo hii ni wazawa?
 
Wewe ni mganda?? Kama sio unatokea wapi mwenzetu??? Kwanini unasema Rais wenu???
By the way utakufa wewe na Rais wetu atawaona watoto wa wajukuu wake na uzee wake na mkewe utakuwa uzee MWEMA.

Queen Esther

Umakini wake uko wapi hapo,Leo hili mnaona do go kesho watatangaza raisi wenu kafa kwakukurupuka
 
Uliwahi kuuona MKATABA wake wa AJIRA pale UCLAS????????? Tuwekee humu tafadhali GT.

Queen Esther

dhambi ya kibaguzi!

Mama Wangwe (ndio jina maarufu tulizoea kumwita pale UCLAS enzi hizo) anayo tofauti gani na wale wanyasa na wamakonde waliolowea miaka ileee leo wanajidai leo hii ni wazawa?
 
Back
Top Bottom