Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,360
Kama anaimiliki hio bunduki kihalali kuna kosa gani?tusichanganye siasa na sheria
Ukiachia sheria ya uchaguzi inayoweka utaratibu wa Kampeni, kanuni ya adhabu Penal Code kifungu 84 kiko wazi, kinasema:
"Going armed in public
Any person who goes armed in public without lawful occasion in such a manner as to cause terror to any person is guilty of an offence and his arms may be forfeited.
Hivyo basi polisi igunga walitakiwa wawe na kiherehere cha kumkamata huyu bwana na sio kungoja mpaka waziri aseme.
Swali la Kizushi hebu fikiria hicho kitu kingefanywa na Mheshimiwa Godbless Lema ingekuwaje?