VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,610
- 13,160
TBC habari saa tano usiku 19 Nov, Waziri wa maji Mbarawa ametoa tamko kwamba ameagizwa na Mh.Rais JPM visima 10 kwa dharula, kukabiliana na maji huko Mwanuzi Meatu.
Jamani mawaziri hamjiamini bila kumtaja JPM? Kwamba Rais ameridhia tuchimbe visima 10 na mtandao wa maji kwa haraka!?
Kweli hata maamuzi visima 10 mpaka ridhaa na hisani Rais!? Kwa dona katry!?
Jamani mawaziri hamjiamini bila kumtaja JPM? Kwamba Rais ameridhia tuchimbe visima 10 na mtandao wa maji kwa haraka!?
Kweli hata maamuzi visima 10 mpaka ridhaa na hisani Rais!? Kwa dona katry!?