mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,098
- 9,994
Hajajibu kisheria kabisa!!!! Although TLS hawako sahihi Ila Mwigulu hajajibu kisheria kabisa ...Kuna umuhimu wizara hii akaishikilia Mwanasheria MsomiNimesoma andiko la TLS, kwa heshima zote kwa chombo chetu hiki kilichopewa mamlaka kisheria, Nimeshtuka sana, I wish to say,
Kwanza KATIBA HAIJAVUNJWA KWA MHE RAIS SAMIA SULUHU kuapa, na wala hakuna Mkanganyiko wowote wa Kikatiba, kwa yeye kutoteua PM na Baraza jipya. Mmekaa wote kweli mkaona hivyo.
Kwa mujibu wa Katiba Ibara ya 42(5) kuna watu wa aina mbili wanaweza kuwa Rais. Moja, Rais Mteule ambaye anatokana na Ibara ya 42(1). Mbili, Mtu anayeshika kiti cha Rais ambaye anatokana na ibara ya 37(5) na 50(2)(d) ambaye ni Makamu wa Rais. Kwa Mazingira haya, Makamu wa Rais, baada ya kifo cha Rais, anakuwa Kaimu Rais baadae ndio ameapa na kuwa RAIS wa Nchi. Rais Mteule anapatikana kutokana na uchaguzi. Hivyo basi ibara ya 57(2)(f) ya Katiba haitumiki katika mazingira haya. Kwa mjibu wa Sheria, Mhe Rais alitakiwa kutoa taarifa hii kwenye Baraza la Mawaziri baada ya kuapa na alifanya hivyo, maana yake Baraza lipo.
Hata hivyo kwa tamaduni za Kiafrika, kitanzania na Misingi ya UTU, SIONI KAMA NI JAMBO JEMA SANA KUANZA KUJADILI MGAWANYO WA MADARAKA TUNGALI HATA HATUJAMZIKA ALIYEKUWA KIONGOZI WETU. HUU SIO MSIBA MDOGO, JAMBO HILI ZITO LIKO MIKONONI MWA RAIS WETU MAMA SAMIA SULUHU, HALAFU SISI TUANZE KUMPATIA MAMBO YA MARA TEUA PM, MARA VUNJA BARAZA, KATIBA INAELEKEZA RAIS KUAPA NA NAMNA YA KUMPATA MAKAMU WA RAIS.
KWA MJIBU WA KATIBA RAIS ANARUHUSIWA KUVUNJA BARAZA MUDA WOWOTE NA KUPANGA ATAKAVYO HATA SIO KWA MAZINGIRA KUAPA KWAKE,
KWANINI HATUIONI HEKIMA YAKE YA KUSHUGHULIKIA MSIBA KUMSITIRI KWANZA ALIYEKUWA KIONGOZI WETU? TUNAANZA NA MAZISHI AU MIRATHI? 😭😭😭😭
Pia soma > TLS: Kwa Mujibu wa Katiba, sasa Tanzania haina baraza la Mawaziri, Rais Samia atakiwa kuteua Waziri Mkuu ndani ya siku 14
Huyu nae ni mpuuzi,hoja hapa ni kwamba,Katiba inavunjwa kwa Samia kutokuteua Baraza jipya?Nimesoma andiko la TLS, kwa heshima zote kwa chombo chetu hiki kilichopewa mamlaka kisheria, Nimeshtuka sana, I wish to say,
Kwanza KATIBA HAIJAVUNJWA KWA MHE RAIS SAMIA SULUHU kuapa, na wala hakuna Mkanganyiko wowote wa Kikatiba, kwa yeye kutoteua PM na Baraza jipya. Mmekaa wote kweli mkaona hivyo.
Kwa mujibu wa Katiba Ibara ya 42(5) kuna watu wa aina mbili wanaweza kuwa Rais. Moja, Rais Mteule ambaye anatokana na Ibara ya 42(1). Mbili, Mtu anayeshika kiti cha Rais ambaye anatokana na ibara ya 37(5) na 50(2)(d) ambaye ni Makamu wa Rais. Kwa Mazingira haya, Makamu wa Rais, baada ya kifo cha Rais, anakuwa Kaimu Rais baadae ndio ameapa na kuwa RAIS wa Nchi. Rais Mteule anapatikana kutokana na uchaguzi. Hivyo basi ibara ya 57(2)(f) ya Katiba haitumiki katika mazingira haya. Kwa mjibu wa Sheria, Mhe Rais alitakiwa kutoa taarifa hii kwenye Baraza la Mawaziri baada ya kuapa na alifanya hivyo, maana yake Baraza lipo.
Hata hivyo kwa tamaduni za Kiafrika, kitanzania na Misingi ya UTU, SIONI KAMA NI JAMBO JEMA SANA KUANZA KUJADILI MGAWANYO WA MADARAKA TUNGALI HATA HATUJAMZIKA ALIYEKUWA KIONGOZI WETU. HUU SIO MSIBA MDOGO, JAMBO HILI ZITO LIKO MIKONONI MWA RAIS WETU MAMA SAMIA SULUHU, HALAFU SISI TUANZE KUMPATIA MAMBO YA MARA TEUA PM, MARA VUNJA BARAZA, KATIBA INAELEKEZA RAIS KUAPA NA NAMNA YA KUMPATA MAKAMU WA RAIS.
KWA MJIBU WA KATIBA RAIS ANARUHUSIWA KUVUNJA BARAZA MUDA WOWOTE NA KUPANGA ATAKAVYO HATA SIO KWA MAZINGIRA KUAPA KWAKE,
KWANINI HATUIONI HEKIMA YAKE YA KUSHUGHULIKIA MSIBA KUMSITIRI KWANZA ALIYEKUWA KIONGOZI WETU? TUNAANZA NA MAZISHI AU MIRATHI?
Pia soma > TLS: Kwa Mujibu wa Katiba, sasa Tanzania haina baraza la Mawaziri, Rais Samia atakiwa kuteua Waziri Mkuu ndani ya siku 14
Je, kikatiba inachukua siku ngapi (tangu kuapishwa kwa rais) kupata baraza la mawaziri?Siku 14 tangu kuaipishwa
Hapo sjui mkuuje, kikatiba inachukua siku ngapi (tangu kuapishwa kwa rais) kupata baraza la mawaziri?
Baraza analoje, kikatiba inachukua siku ngapi (tangu kuapishwa kwa rais) kupata baraza la mawaziri?
😏Baraza analo
Huyo jamaa kikabila ni mjita hvyo ni wakanda ya ziwa , tatizo sa hv wa kanda ya ziwa mnawananga Sana , Ila probably ndio kanda ya wachapa kazi wenye maamuz magumu ....Aige mfano wa Zanzibar, rais Mwinyi alimteua mkuu wa mkoa na anachapa kazi. Aachane na hawa wa makundi makundi na wenye viherehere na tamaa ya kuwa marais watamsumbua. Pale mkoa wa Simiyu ninamuona VP Eeh mungu tusaidie...
Wewe Antony Mtaka tulia! Acha kujipigia promo. Makamu wa Rais ameshapatikana kitambo tu. Tunasubiri kumuhifadhi Mzee kwanza, then tumtangaze.Aige mfano wa Zanzibar, rais Mwinyi alimteua mkuu wa mkoa na anachapa kazi. Aachane na hawa wa makundi makundi na wenye viherehere na tamaa ya kuwa marais watamsumbua. Pale mkoa wa Simiyu ninamuona VP Eeh Mungu tusaidie...
Hao mnaowafikiria si bora awe Aggrey Mwanri tu tujue moja.Wewe Antony Mtaka tulia! Acha kujipigia promo. Makamu wa Rais ameshapatikana kitambo tu. Tunasubiri kumuhifadhi Mzee kwanza, then tumtangaze.
Ridhika na hicho cheo ulicho nacho. Ukiendekeza tamaa, yatakukuta kama yale ya Makonda.
Huu ni wakati wa chama kurudishwa mikononi mwa wenye chama chao! Hivyo sahau hicho cheo kupewa mtu asiye na mizizi au CV inayo eleweka.Hao mnaowafikiria si bora awe Aggrey Mwanri tu tujue moja.