Waziri wa Katiba na Sheria Mwigulu Nchemba awajibu TLS kuhusu Rais Samia Suluhu kuteua Baraza jipya la Mawaziri

Hajajibu kisheria kabisa!!!! Although TLS hawako sahihi Ila Mwigulu hajajibu kisheria kabisa ...Kuna umuhimu wizara hii akaishikilia Mwanasheria Msomi
 
Huyu nae ni mpuuzi,hoja hapa ni kwamba,Katiba inavunjwa kwa Samia kutokuteua Baraza jipya?
Hawa mawaziri waliapa mbele ya Raisi aliyepita,je wanaweza kuendelea na viapo vyao,kwa Raisi mpya?
Jiwe aliapa 2015,akaapa Tena 2020!kwanini ?akuendelea na kiapo chake Chake Cha 2015?kwanini alimwapisha Tena PM majariwa 2020,wakati aliisha muapisha 2015?!
 
Sote tunajua Mama Samia ameshakula kiapo lakini bado hajapata makamu wake.

Je, kikatiba inachukua siku ngapi (tangu kuapishwa kwa Rais) kumpata Makamu wa Rais?
 
Aige mfano wa Zanzibar, rais Mwinyi alimteua mkuu wa mkoa na anachapa kazi. Aachane na hawa wa makundi makundi na wenye viherehere na tamaa ya kuwa marais watamsumbua. Pale mkoa wa Simiyu ninamuona VP Eeh Mungu tusaidie...
 
Aige mfano wa Zanzibar, rais Mwinyi alimteua mkuu wa mkoa na anachapa kazi. Aachane na hawa wa makundi makundi na wenye viherehere na tamaa ya kuwa marais watamsumbua. Pale mkoa wa Simiyu ninamuona VP Eeh mungu tusaidie...
Huyo jamaa kikabila ni mjita hvyo ni wakanda ya ziwa , tatizo sa hv wa kanda ya ziwa mnawananga Sana , Ila probably ndio kanda ya wachapa kazi wenye maamuz magumu ....
 
Watu mnawaza Baraza la Mawaziri ukiangalia wabunge ni wale wale msiowapenda. Makamu ni mtu wa CCM basi kujitafutia maumivu tu hasa akichaguliwa msiyempenda.
 
Aige mfano wa Zanzibar, rais Mwinyi alimteua mkuu wa mkoa na anachapa kazi. Aachane na hawa wa makundi makundi na wenye viherehere na tamaa ya kuwa marais watamsumbua. Pale mkoa wa Simiyu ninamuona VP Eeh Mungu tusaidie...
Wewe Antony Mtaka tulia! Acha kujipigia promo. Makamu wa Rais ameshapatikana kitambo tu. Tunasubiri kumuhifadhi Mzee kwanza, then tumtangaze.

Ridhika na hicho cheo ulicho nacho. Ukiendekeza tamaa, yatakukuta kama yale ya Makonda.
 
Wewe Antony Mtaka tulia! Acha kujipigia promo. Makamu wa Rais ameshapatikana kitambo tu. Tunasubiri kumuhifadhi Mzee kwanza, then tumtangaze.

Ridhika na hicho cheo ulicho nacho. Ukiendekeza tamaa, yatakukuta kama yale ya Makonda.
Hao mnaowafikiria si bora awe Aggrey Mwanri tu tujue moja.
 
Hao mnaowafikiria si bora awe Aggrey Mwanri tu tujue moja.
Huu ni wakati wa chama kurudishwa mikononi mwa wenye chama chao! Hivyo sahau hicho cheo kupewa mtu asiye na mizizi au CV inayo eleweka.

Usisahau CCM ASILI ina nguvu kubwa kuliko wahamiaji haramu ccm makinikia.

Hawa waliishi kwa kudra za mtu mmoja tu! Na amesha waacha njia panda! Mpaka sasa hawajui hata hatma yao tu itakuwaje ndani ya chama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…