Baadhi ya shule za private wanawasumbua wazazi dakika za mwisho mwisho
Mtoto anasoma kidato cha kwanza - cha tatu anapoingia kidato cha nne akipata div two au three anaitwa mzazi anaambiwa amuhamishe mtoto sababu inasemekana shule inataka division one tu ili iweze kuongoza kwenye matokeo ya kidato cha nne.
Ili tatizo ni kubwa na malalamiko yapo kwa maafisa elimu wa mikoa. Mzazi anapata usumbufu wa kutafuta shule nyingine ili mtoto apate kufanya mtihani wa kidato cha nne.
Pili gharama za kuanza maandalizi mapya. Mtoto nae anaathirika kisaikolojia yaweza kumfanya akafanya vibaya kabisa katika mtihani wa kidato cha nne.
Ombi langu iwe ni marufuku kufukuza mtoto kwa sababu za ufaulu.
Mtoto anasoma kidato cha kwanza - cha tatu anapoingia kidato cha nne akipata div two au three anaitwa mzazi anaambiwa amuhamishe mtoto sababu inasemekana shule inataka division one tu ili iweze kuongoza kwenye matokeo ya kidato cha nne.
Ili tatizo ni kubwa na malalamiko yapo kwa maafisa elimu wa mikoa. Mzazi anapata usumbufu wa kutafuta shule nyingine ili mtoto apate kufanya mtihani wa kidato cha nne.
Pili gharama za kuanza maandalizi mapya. Mtoto nae anaathirika kisaikolojia yaweza kumfanya akafanya vibaya kabisa katika mtihani wa kidato cha nne.
Ombi langu iwe ni marufuku kufukuza mtoto kwa sababu za ufaulu.