Pata picha angekuwa mwafrika?Kelele zingekuwa nyingi sana.Tatizo mzungu akionyesha ujinga wake inakuwa ni ujinga wake pekee yake.Mwafrika akionyesha ujinga wake wanahukumiwa waafrika wote na propaganda za IQ ndogo.Aliwahi kusema sehemu ya ubongo wake iliwahi kuliwa na minyoo ya kichwa.
Wewe ndo mtaalamu au unajiita mtaalamu? Maana hata kuelewa alichosema huyo bwana ni shida kwako je kuhusu uelewa wako katika hili gonjwa sindo ni zero kabsaNa mabinti je wao wanapataje AUTISM na hawatahiriwi ,😂 na mimi kuna watoto wa kiume nawafahamu hawajatahiriwa na wana usonji tena level ya moderate.
Ila mpaka leo asee usonji ni pasua kichwa nipo kwenye hii industry ila asee kila siku lazima ujifunze maana hii issue sio ya kukariri mavitabu tu.
Yaan huwezi tumia reference ya Autism ya mtu mmoja na mwingine na ndo maana inaitwa Spectrum disorder.
Ila ni watu poa sana wakiwa trained wakapata na therapy za kutosha !! Bongo watu wengi aseee hawana uelewa na hii kitu bado.
Huo sio ugonjwa, tuendelee kupata maarifa pia.Wewe ndo mtaalamu au unajiita mtaalamu? Maana hata kuelewa alichosema huyo bwana ni shida kwako je kuhusu uelewa wako katika hili gonjwa sindo ni zero kabsa
Ue ugonjwa au sio ugonjwa lakn umepuyanga hauna tofauti Namm lapili B katika kuelewa taarifa kifupi mkurupukajHuo sio ugonjwa, tuendelee kupata maarifa pia.
Mbona miaka ya hivi karibuni hili tatizo limeongezeka shida nini hasa?Na mabinti je wao wanapataje AUTISM na hawatahiriwi ,😂 na mimi kuna watoto wa kiume nawafahamu hawajatahiriwa na wana usonji tena level ya moderate.
Ila mpaka leo asee usonji ni pasua kichwa nipo kwenye hii industry ila asee kila siku lazima ujifunze maana hii issue sio ya kukariri mavitabu tu.
Yaan huwezi tumia reference ya Autism ya mtu mmoja na mwingine na ndo maana inaitwa Spectrum disorder.
Ila ni watu poa sana wakiwa trained wakapata na therapy za kutosha !! Bongo watu wengi aseee hawana uelewa na hii kitu bado.
Sawa , umeshindaUe ugonjwa au sio ugonjwa lakn umepuyanga hauna tofauti Namm lapili B katika kuelewa taarifa kifupi mkurupukaj
Issue hapo, ni kama watoto wakipewa Tylenol baada ya tohara.RFK Jr adai vijana wanaotahiriwa hasa wakiwa wadogo wengi wanakuwa katika hatari ya kupata usonji.
View attachment 3486908
RFK Jr adai vijana wanaotahiriwa hasa wakiwa wadogo wengi wanakuwa katika hatari ya kupata usonji.
View attachment 3486908