Waziri wa Afya hajui Kiswahili vizuri

Waziri wa Afya hajui Kiswahili vizuri

Anajua vizuri sana na ameathiriwa kimatamshi na lugha yake ya asili ni sawa sawa na mbunge mmoja kutoka kanda ya ziwa na ni msomi mzuri sana ila ukimwambia atamke " NNE '' Hata umkate kichwa hawezi yeye atasema " INE"
 
Anajua vizuri sana na ameathiriwa tuu na matamshi ya luga yake ya asili ni sawa sawa na mbunge mmoja kutoka kanda ya ziwa na ni msomi mzuri sana ila ukimwambia atamke " NNE '' Hata umkate kichwa hawezi yeye atasema " INE"

Achana nae huyo anaejiita Mshana Jr. amekosa cha kukosoa na hata alipojaribu kukosoa yeye mwenyewe akachemsha na nikampa jab hapo juu kidogo.

Huyo tunamjuwa kwa chuki zake na watu fulani fulani katika jamii.
 
Achana nae huyo anaejiita Mshana Jr. amekosa cha kukosoa na hata alipojaribu kukosoa yeye mwenyewe akachemsha na nikampa jab hapo juu kidogo.

Huyo tunamjuwa kwa chuki zake na watu fulani fulani katika jamii.
Hahahhaa wee kizuka sijiiti mshana jr hilo ndio jina langu halisi nikwambie mara million ngapi ndio uelewe??? Chuki unazo wewe na hilo linajulikana wazi usitafute huruma usiyostahili
 
Hahahhaa wee kizuka sijiiti mshana jr hilo ndio jina langu halisi nikwambie mara million ngapi ndio uelewe??? Chuki unazo wewe na hilo linajulikana wazi usitafute huruma usiyostahili

Huruma nitafute mie? Wakati mie ndiye nnaekupa darsa humu JF kila siku kwa kukuhurumia.

Unanchekesha!
 
Huna joya. Nimekupa jaba uliporudi tena nikakupa upper cut umebaki kuhororoja na kubwabwaja bila mpango. Sisi hatutetereki.

Kwanza umesema "hajui Kiswahili" halafu ukaanza kubwabwaja kuhusu "operation", ukalipa hilo neno maana tofauti.

Wewe huwezi kushindana na Ummy kwa lolote lile, si elimu, si Kiswahili, si Kingereza.

Ukiwa wahed.
Huruma nitafute mie? Wakati mie ndiye nnaekupa darsa humu JF kila siku kwa kukuhurumia.

Unanchekesha!
Maskini wee hadi huruma...!!! Unajaribu kujifanya mjuaji kumbe katika watu wapuuzi nakuapia wewe ni mmojawapo, hizo jab sijui upper cut unazionaga tu kwenye TV nitafute nikuonyeshe kwa vitendo. Unakumbuka nilikuita mnuka nini? Hivyo ndivyo ulivyo na utabaki kuwa hivyo
 
Maskini wee hadi huruma...!!! Unajaribu kujifanya mjuaji kumbe katika watu wapuuzi nakuapia wewe ni mmojawapo, hizo jab sijui upper cut unazionaga tu kwenye TV nitafute nikuonyeshe kwa vitendo. Unakumbuka nilikuita mnuka nini? Hivyo ndivyo ulivyo na utabaki kuwa hivyo

Nnakuhakikishia ntaku knock out within 1 minute. Usiombee.
 
Nnakuhakikishia ntaku knock out within 1 minute. Usiombee.
Hahahhaa dunia haiishi viroja, majigambo haya kila mtu anayo lakini inapokuja kwenye uhalisia mambo huwa tofauti..! Karibu Tiptop NAKOZ GYM ...usirukeruke huku JF
 
Umechemsha, hilo neno "operation" halimaanishi upasuaji.

Rudi ukafanye homework yako usipoteze watu.

Hint: "surgery".
Kakosea yeye na wewe pia, nilikuwa nakuchagiza tuu Soma hapa Kama lugha inapanda
1452249861015.jpg
1452249881441.jpg
 
Back
Top Bottom