Waziri wa Afya hajui Kiswahili vizuri

Waziri wa Afya hajui Kiswahili vizuri

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,562
Reaction score
860,715
Huyu ni mheshiwa jana kwenye taarifa ya habari alipotembelea taasisi ya upasuaji Muhimbili alirudia mara kwa mara neno operation(upasuaji) kwa kulitamka ndivyo sivyo kwa kusema oppression (mgandamizo)
Ingekuwa ni mara moja ningesema ulimi hauna mfupa kakosea lakini alirudia mara nyingi tuu
Tukumbuke huyu ni Waziri wa afya wa nchi
 
Aiseee, ni yule yule wa kufunga magati ama?
 
Mdogo wangu Ummy Mwalimu ni Mwanasheria. Ana-act tu kuwa hajui Kiswahili. Si angetumia upasuaji badala ya kutaka kusema Operation? Ummy ana mambo sana.

Mzee Tupatupa
 
Wakiongea kiswahil sn utaskia flan hajui kizungu ndo mana hata nje haend na wakiongea kizungu mnaxema kiswahili hawajui?
 
Wakiongea kiswahil sn utaskia flan hajui kizungu ndo mana hata nje haend na wakiongea kizungu mnaxema kiswahili hawajui?
Vema kuongea kiswahili au Kiingereza kilichonyooka basi kuna tofauti kubwa Kati ya oppression na operation moja ningesema mgandamizo nyingine ni upasuaji, kwa mtu kiwango cha uwaziri hili si jambo dogo
 
Mdogo wangu Ummy Mwalimu ni Mwanasheria. Ana-act tu kuwa hajui Kiswahili. Si angetumia upasuaji badala ya kutaka kusema Operation? Ummy ana mambo sana.

Mzee Tupatupa
ok, nimekupata mkuu1 mkuu pitia pitia hutu tu mitandao ujue kule hali ya hewa itakuaje, huku kwangu ni hatari sana, kipupwe kinapuliza!
 
Hv mtoa mada ye hajawah kukoxea kuongea au ndo m2 akiwa kiongoz hatakiw kukoxea?
 
Kiswahili hakiwezi kuwa na neno lenye maana ya 'operation' ndio maana alipata shida.
 
Huyu ni mheshiwa jana kwenye taarifa ya habari alipotembelea taasisi ya upasuaji Muhimbili alirudia mara kwa mara neno operation(upasuaji) kwa kulitamka ndivyo sivyo kwa kusema oppression (mgandamizo)
Ingekuwa ni mara moja ningesema ulimi hauna mfupa kakosea lakini alirudia mara nyingi tuu
Tukumbuke huyu ni Waziri wa afya wa nchi
Wewe hukoseagi neno?
 
Wewe hukoseagi neno?
Kukosea kupo hebu Soma tena nilichoandika au ingia web ya ITV upate clip ya taarifa ya habari ya Jana saa mbili usiku
Nimesema ALIRUDIA MARA KWA MARA
 
Huyu ni mheshiwa jana kwenye taarifa ya habari alipotembelea taasisi ya upasuaji Muhimbili alirudia mara kwa mara neno operation(upasuaji) kwa kulitamka ndivyo sivyo kwa kusema oppression (mgandamizo)
Ingekuwa ni mara moja ningesema ulimi hauna mfupa kakosea lakini alirudia mara nyingi tuu
Tukumbuke huyu ni Waziri wa afya wa nchi

Umechemsha, hilo neno "operation" halimaanishi upasuaji.

Rudi ukafanye homework yako usipoteze watu.

Hint: "surgery".
 
Mdogo wangu Ummy Mwalimu ni Mwanasheria. Ana-act tu kuwa hajui Kiswahili. Si angetumia upasuaji badala ya kutaka kusema Operation? Ummy ana mambo sana.

Mzee Tupatupa
Hivi mwanasheria kwenye afya ana tafuta Nini!? Anko magu hili jipu lako hili... Litumbueeee
 
Bas wazir atakua amechemsha zaid kama alimaanisha surgery kwa kusema oppression
 
Back
Top Bottom