Waziri Ngeleja aingia club na Aunt Ezekiel usiku wa manane Dom

Ziara ya wasanii wa filamu imeleta gumzo mjini hapa palemabinti wa filamu walipokuwa na muda mwingi kuwaliwaza wenyeji wao wabunge hasa baada ya mpambano mkali wamechi katiya wabunge na wasaanii hao

majira yausiku wa manane waziri wa nishati namadini mh william ngeleja alionekana katika club moja akila bata na msanii wa kimataifa aunt ezekiel huku begalake la kulia likiwa limepewa sapoti na waziri huyo
wawili hao wakiongozana na msanii jack bango ambae inasemekana alikuwa akitafuta mwenza wa kumpa kampani usiku huo
walitinga kiota hiko majira ya saa tisa ya usiku wambapo walijichanganya na wabunge wengine kula raha ya maisha

hata hivyo furaha hiyo za wabunge na wasaanii zimetokana na wenyeji kuwapa kampani ya upendo wa nguvu wageni wao na hivyo kuona kuhitimisha kwa kujivinjari pamoja.. Mbunge wa mvomeloo anos makalla nae alionyesh upendo wa wazi kwa kuwakaribisha baadhi ya mainti waliofika hapo baada ya kupata kilaji ...mmh saa tisa we mbunge wakafanye nini jamani??

Katika hali isiyokuwa ya kawaida wema sepetu amegoma kurudi na wenzake dar akidai atarudi kivyake..akiongea na waandishi wema amesema ammeamua kuendelea kula raha .hilo la kusema nimechanganya wabunge lako alikaririwa mwandishi wa habari hizi..msanii moja alipoulizwa alidai wema ameachwa hotelini kagoma kabisa kutoka ..hiki ni kituko cha pili kututokea kwa huyu wema cha kwanza tulishangaa tunaenda nae uwanjani aisee\

kufika uwanjani kuangalia tusimwone sijui alijificha wapi bana hata mimi sijui...tumekuja kumwona baada ya mechi tena mjini hata hivyo wamesema kwakuwa ni mtu mzima atarudi kwa muda wake ingawa katusaliti sijui nani kamchanganya

nyie wabunge nyie hizi poshio alizosema waziri mkuukugawa kwa wananchi ndio mmeanzia kugawa dodoma jamani

haya
kila lakheri


Wakati nchi nzima haina umeme!
Tanzanians? What is wrong with us? kenya, Uganda, Rwanda hawana mgao, sisi tuna mgao June, ikifika October si tumekwisha!
 
Huyu dada nae sasa hata kama ni michezo ka bukta gani kakuvaa kwenye mechi na wabunge. Nae alikuwa kibiashara zaidi! Huyu hana uzuri wowote kuna wazuri zaidi yake wanajisitiri. Yeye anaonekana na mvuto kwa kuwa anavaa nguo za mauzoni. Kila wakati mapaja yako wazi iwe usiku au mchana.
 
Ngeleja Mathia wiliam Maganga kazi na dawa, ponda mali kifo chaja,
umeme unakunyima usingizi, kodi za madini hazikukalishi ofisini, benki vibilioni vinapiga push-up, sasa watanzania wanataka nini kwako, labda roho yako. endelea kuziba masikio na macho, Boss RA kakuweka pazuri achana na watanzania watu wa majungu kila kukicha
 
Ndio maana nchi yetu ni maskini kwa kuwa na viongozi wasiojuwa kutekeleza majukumu yao.
 
Huyu dada nae sasa hata kama ni michezo ka bukta gani kakuvaa kwenye mechi na wabunge. Nae alikuwa kibiashara zaidi! Huyu hana uzuri wowote kuna wazuri zaidi yake wanajisitiri. Yeye anaonekana na mvuto kwa kuwa anavaa nguo za mauzoni. Kila wakati mapaja yako wazi iwe usiku au mchana.
Nyumba kubwa ujue kuwa kuna vigezo vya ubora wa mwanamke ukiacha sura ambacho ni kigezo cha kwanza unapotaka kujua ubora wa demu cha pili ni figure au morphology. Lakini kuhusu utamu wa demu kabla hujafika kwenye mashine yenyewe unaweza ukaangalia mapaja au legline. Hilo Aunt analijua na kwa kuwa wasanii wote waliokuwa Dodoma wanamvuto wa sura kwa hiyo aliona aende extra mile kuwazidi wenzie kwa kuonyesha mapaja ya kiukweli. Sasa unabisha shauri yako lakini kwa jinsi mguu wa Aunt ulivyobalance sijutii Mh Nhelleja kuangukia pale, anamfaa
 
Kumbe na Tanzania tuna Wasanii Wa Kimataifa...Nashukuru kulijua hilo
 
wabongo bana...kwani nyie hamjawahi kula bata? kwani ye akila bata we unahusu nini? mwacheni bana amle bata wake nyie niaje?
Kosa mkifanya nyie hamuoni akifanya yeye mineno inawatokaaaa!
 
huo usiku wa manane ulikuwa wapi mkuu? Au umeanza upaparazi. Au ni vile vigazeti vya uchochoroni vya Tshs 200/=?
 
Huyu jimama aunt ez, yuko kwenye mbio za mwenge!
Mara dom, mara kino! Ama kweli kujua uchumi sio lazima uwe na hons ya economics! Ni wewe tu na manispaa yako ya kichwa!
 
Back
Top Bottom