Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Uliwadharau Watanzania na ukatoa kauli za kebehi kuwa hii ni sheria ya bunge hivyo kila mtanzania anatakiwa kulipa tozo za kizalendo ili kujenga shule, zahanati na vituo vya afya.
Watanzania wakakuona hufai maana ulibuni chanzo cha mapato kisichofaa na kinachowanyonya watanzania wanyonge. Maana kama ni vyanzo vya mapato vipo vingi na kama mchumi ulitakiwa usiwakabe na kuwanyonya wanyonge.
Nini kimekufanya urekebishe kanuni? Malalamiko ya watanzania?
Wewe hufai kuwa waziri wa fedha maana hauna huruma na raia ambao hata kupata mlo ni shida, ila wewe ulipiga mayowe wakamuliwe kana kambwa wanaokota pesa.
Jiuzuru kulinda heshima yako.
Watanzania wakakuona hufai maana ulibuni chanzo cha mapato kisichofaa na kinachowanyonya watanzania wanyonge. Maana kama ni vyanzo vya mapato vipo vingi na kama mchumi ulitakiwa usiwakabe na kuwanyonya wanyonge.
Nini kimekufanya urekebishe kanuni? Malalamiko ya watanzania?
Wewe hufai kuwa waziri wa fedha maana hauna huruma na raia ambao hata kupata mlo ni shida, ila wewe ulipiga mayowe wakamuliwe kana kambwa wanaokota pesa.
Jiuzuru kulinda heshima yako.