chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,691
- 22,712
Sound tuNilisikia kuna meli inapakua mafuta wiki chache zilizopita, lakini sidhani kama kweli kuna mafuta yameletwa na hizo meli.
Sound tuNilisikia kuna meli inapakua mafuta wiki chache zilizopita, lakini sidhani kama kweli kuna mafuta yameletwa na hizo meli.
Mwanzo hoja ilikuwa ni uhaba wa mafuta hapa nchini umepelekea bei kupanda, lakini kwa sasa hoja inabadilika kuwa gharama za uzalishaji!?Itashukaje wakati production cost inapanda?
Hakuna kiumbe mvumilivu kama mtanzania
Hii nchi bwana, tunahitaji maombi tu!!hata kesho mafuta lita moja iwe 10, 000 hakuna cha kufanya!!toka waziri aliposema kuna meli zinaahusha mafuta bandarini huu sasa ni mwezi!!hakuna cha unafuu!!tatizo ni pale mambo ya kiuchumi yanajibiwa kisiasa!!leo unasikia mtu anashangilia eti hukumu kuandikwa kiswahili!!Bidhaa hii ni muhimu sana jikoni.Wahusika wa hili waangalie bei mana kila kukicha bei inapanda kwa kasi.Watu wa kipato cha chini tunaisoma kimya kimya.
Subiri tuvune alizeti.Bidhaa hii ni muhimu sana jikoni.Wahusika wa hili waangalie bei mana kila kukicha bei inapanda kwa kasi.Watu wa kipato cha chini tunaisoma kimya kimya.
Nambari one ni tatizo.Yani lita 3 huku kwetu ni 18,000 ambayo mwaka jana ilikua 11000 November.(Safi na Korie)hio alizeti haikamatiki(25,000 lita 3)
CEMENT, KOROSHOYale yale ya sukari
Hiyo alizeti yenyewe mpaka uipate sasa.Yani lita 3 huku kwetu ni 18,000 ambayo mwaka jana ilikua 11000 November.(Safi na Korie)hio alizeti haikamatiki(25,000 lita 3)
Ni shidaCEMENT, KOROSHO
Hasa kwa wananchi wa kipato cha ChiniNi shida