Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Infantry Soldier,
Msanii anatumia uhuru wake wa kikatiba wa kujieleza.
Ibara ya 18 ya katiba inasema.
18.-(1) Bila ya kuathiri sheria za nchi, kila mtu yuko huru kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake, na kutafuta, kupokea na kutoa habari na dhana zozote kupitia chombo chochote bila ya kujali mipaka ya nchi, na pia ana uhuru wa mawasiliano yake kutoingiliwa kati.
(2) Kila raia anayo haki ya kupewa taarifa wakati wote kuhusu matukio mbalimbali nchini na duniani kote ambayo ni muhimu kwa maisha na shughuli za wananchi, na pia juu ya masuala muhimu kwa jamii.
Sasa huyo msanii kwa kutoa mawazo yake amevunja sheria gani?
https://www.bugando.ac.tz/attachments/Katiba_ya_Tanzania.pdf
Ndo umeandika nini