Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 38,018
kichaa anajulikana kwa kauli na matendo yakeNa wewe nenda jimboni kwako kagawe gongo
kichaa anajulikana kwa kauli na matendo yakeNa wewe nenda jimboni kwako kagawe gongo
Akiongea na wananchi kwenye mkutano wa hadhara huko wilayani mbozi, waziri Mulugo alionekana akiwa na kiroba kilichojaa mabulungutu ya noti huku akigawa mafungu ya noti hizo kwa wananchi waliohudhuria mkutano huo kwa kisingizio kwamba anawezesha VICOBA.
Haikufahamika mara moja kwa nini aliamua kugawa fedha taslimu kwa watu binafsi badala ya kuziweka kwenye akaunti ya VICOBA. Hii inachukuliwa kuwa mbinu ya kujipanga kuwaweka wapiga kura wake sawa kisaikolojia kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka 2014 na 2015.
Source: TBC1
Lukosi komenti zako nyingine ni za kipumbavu sana! kwa hiyo unakubaliana na Mlugo kugawa rushwa? Mwingine anakusanya maaskofu huko Mwanza na kuanza kampeni za uraisi kwa rushwa, mwingine anagawa rushwa kwa nafasi ya ubunge 2015. ccm vipi, hamjiamini? Mpaka mwisho wa 2014 tutasikia mengi tu!!
anagawa pesa wakati watumishi wa serikali mpaka sasa hivi hawajapata mshahara
Na wewe nenda jimboni kwako kagawe gongo