Waziri Mulugo agawa rushwa hadharani

Waziri Mulugo agawa rushwa hadharani

tpaul

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
27,153
Reaction score
27,729
Akiongea na wananchi kwenye mkutano wa hadhara huko wilayani mbozi, waziri Mulugo alionekana akiwa na kiroba kilichojaa mabulungutu ya noti huku akigawa mafungu ya noti hizo kwa wananchi waliohudhuria mkutano huo kwa kisingizio kwamba anawezesha VICOBA.

Haikufahamika mara moja kwa nini aliamua kugawa fedha taslimu kwa watu binafsi badala ya kuziweka kwenye akaunti ya VICOBA. Hii inachukuliwa kuwa mbinu ya kujipanga kuwaweka wapiga kura wake sawa kisaikolojia kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka 2014 na 2015.

Source: TBC1
 
Huu utaratibu wa wanasiasa kugawa noti kwa wapiga kura sijui ndiyo maisha bora waliyoahidiwa au ni danganya toto ya kuwapumbaza wananchi ili wakawarejeshe madarakani. Kila uchaguzi ukikaribia lazima vituko kama hivi vijitokeze.
 
No not za machuma ulete Hizo. Wakipokea tu vicoba vyao kwisha kazi. Maana Mlugo ni mmoja wa mafundi. Hawezi kushindana mtu atashinda tu.kana huyaoendi maisha yako badi gobania jimbo na huyu mheshimiwa
 
Mulugo alipewa uwaziri kwa asante ya kukarimiwa bwana mkubwa na bibie mmoja kule mbeya! Mulugo ni zaidi ya mzigo kwenye wizara ya elimu..
 
nasikia huyu alipewa uwaziri baada ya kumkuwadia mkuu wa kaya na hawara kuzawadiwa u-dc,unaweza kuona awamu ya nne lilivyo genge la wahuni!
 
Huyo kilaza wa tanzania is a Union of Tanganyika and zimbabwe?
 
Tanzania ni muungano wa Pemba, Unguja na Tanganyika yaani hapa alisahihisha makosa (akiwa radio clouds fm) ya kusema Unguja, Zimbabwe na tanganyika ziliiungana...LAZIMA AGAWE HELA KWANI HAJUI YUPO KWENYE NCHI GANI
 
Mkuu jitahidi upime afya yako kama we si nzee mwenzangu manake muonekano unaonyesha mwili wako kukosa wangavu kama m mtu alie na matatizo ya kisaikolojia

yuko ulaya lakini alivyopauka , afadhali hata shetani ! Sijui akirudi kwao TANANGOZI halafu akutane na ULANZI wa mwaka jana itakuwaje ?
 
Back
Top Bottom