Waziri Mkuu: Wakulima wa korosho watalipwa baada ya kujiridhisha kama korosho hizo zimetoka nchini

Alafu kwanini magufuli baada ya kujua kuwa ameharibu mambo anamtuma wazir mkuu ndye atoe matamko sasa hiv? Si mara ya kwanza alikuwa akitolea matamko ovyo anavyotaka. Sasa hiv anajificha nyuma ya mgongo wa majaliwa. Tana maskini majaliwa huyu aliyeambiwa atapigwa mpaka shangazi zake wakitetea pesa za bodi ya korosho. Na isitoshe majaliwa huyu aliyekuwa akapata tyar wateja wa kununua korosho bila mogogoro. Ila aliishiwa kushushuliwa mbele ya kadamnasi.
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema katika ununuzi wa korosho, Bodi ya Mazao Mchanganyiko inafanya kwanza thamini na kujiridhisha kama korosho hizo zimezalishwa nchini, kuangalia ubora na kama aliyepeleka ndiye mkulima. Baada ya kujiridhisha, ndipo utaratibu wa malipo unafuata.
Hivi, kwani serikali kununua korosho toka kwa wakulima ni mzigo? Kama Msumbiji wanataka kuuza kwetu tatizo liko wapi, mbona kuna wakati tulisema watu wakauze kahawa Uganda kama wanapata bei nzuri huko? Hii kuhakiki mie naona ni kama kujihangaisha tu. Inakuwa kama vile serikali haitaki watu walime Korosho kwa wingi ni mzigo kwake
 
Back
Top Bottom