Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,191
- 10,925
Huku ikielezwa umebaki muda mfupi jeshi la Israel lianze kujingia Gaza kupigana mitaani na wapalestina,waziri mkuu wa Uiengereza naye ametua uwanja wa Ben Gurion kuonana na waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu.
Hiyo ni siku moja tu tangu kumalizika kwa aibu kwa ziara ya rais wa Marekani, Joe Biden ambaye nchi za kiarabu zilikataa kuonana naye.
Katika mazungumzo ya Sunak na Netanyahu, waziri mkuu huyo wa UK aliwaambia Israel kuwa amekwenda ili kuwaonesha kuwa Uiengereza iko pamoja nao na kwamba anawatakia ushindi katika vita vyao.
Hiyo ni siku moja tu tangu kumalizika kwa aibu kwa ziara ya rais wa Marekani, Joe Biden ambaye nchi za kiarabu zilikataa kuonana naye.
Katika mazungumzo ya Sunak na Netanyahu, waziri mkuu huyo wa UK aliwaambia Israel kuwa amekwenda ili kuwaonesha kuwa Uiengereza iko pamoja nao na kwamba anawatakia ushindi katika vita vyao.