Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Still we have four good years to waste.Tanzania is a peaceful country, six years without a prezda and everyone is happy!
Still we have four good years to waste.Tanzania is a peaceful country, six years without a prezda and everyone is happy!
Akiwa Davos Rais Kikwete amefanya mazungumzo na Waziri mkuu wa uingereza David Cameroun
ambapo amemsifia Rais Kikwete kwa kukuza sekta ya kilimo nchini kupitia Kilimo kwanza na
kukuza uchumi.
Source: Taarifa ya habari Mlimani TV.
My take: Kama Waziri Mkuu wa uingereza amemsifia Rais Kikwete, hawa akina Richard Brunwick
wanatoka wapi kueneza majungu na uchocheza katika mitandao?
Wamuulize Waziri mkuu wao awape ukweli badala ya kuzusha mambo.
Ndiyo. Hao ni makuwadi wa wapinga maendeleo ya Watanzania.
Wametumia mitandao kumwaga upupu wa kishetani dhidi ya JK na Tz yetu tukufu.
Nahisi wahuni hawa ni baadhi ya wana JF wanachama wa #$%&+, ... kutokana na mada zao za kizandiki.
Nikibahatika kuwafahamu,... nitawameza bila kuwatafuna.
Akiwa Davos Rais Kikwete amefanya mazungumzo na Waziri mkuu wa uingereza David Cameroun
ambapo amemsifia Rais Kikwete kwa kukuza sekta ya kilimo nchini kupitia Kilimo kwanza na
kukuza uchumi.
Source: Taarifa ya habari Mlimani TV.
My take: Kama Waziri Mkuu wa uingereza amemsifia Rais Kikwete, hawa akina Richard Brunwick
wanatoka wapi kueneza majungu na uchocheza katika mitandao?
Wamuulize Waziri mkuu wao awape ukweli badala ya kuzusha mambo.
@Kengemumaji, hivi kwa mfano kama mimi nakulisha wewe na mkeo na wanao halafu tutakutana mahali nikakusifia kwa jitahada zako za kukuza kilimo (kilimo ambacho bado hakitoshelizi) utaamini nimekusifia kwa dhati au nilimaanisha something unspeakable?
Labda nikuulize kwanini Cameroon hakumsifia kwa kukuza madini, mawasiliano, etc? Unaacha watu wangine wanaondoka na dhahabu, almasi tena bila hata ya kulipa kodi halafu wewe unapanda ndege kwenda kuhubiri kilimo? Hata mimi ningekusifia maana yataka moyo!
ni hilo tu au kuna jingine mana!
Akiwa Davos Rais Kikwete amefanya mazungumzo na Waziri mkuu wa uingereza David Cameroun
ambapo amemsifia Rais Kikwete kwa kukuza sekta ya kilimo nchini kupitia Kilimo kwanza na
kukuza uchumi.
Source: Taarifa ya habari Mlimani TV.
My take: Kama Waziri Mkuu wa uingereza amemsifia Rais Kikwete, hawa akina Richard Brunwick
wanatoka wapi kueneza majungu na uchocheza katika mitandao?
Wamuulize Waziri mkuu wao awape ukweli badala ya kuzusha mambo.
PUMBAVU. hivi na wewe unakubali kweli kuwa kilimo kimekuwa? Ushenzi mtupu,aliposifiwa hapo ni sawa na mtu mfupi kumuita tall. Huyo cameroon anaye msifia kikwete alikwenda kijiji gani hapa tanzania akakuta kilimo kimewanufaisha wananchi wa mahali hapo,
huu ni ushenzi tupu, Supermarket Arusha kunauzwa vitunguu saumu kutoka china, yes kilimo kwanza my asssssss
Kikwete is a grobal loughing stock....ha ha haaa!!!
Tanzania is a peaceful country, six years without a prezda and everyone is happy!
Akiwa Davos Rais Kikwete amefanya mazungumzo na Waziri mkuu wa uingereza David Cameroun.
Tanzania is a peaceful country, six years without a prezda and everyone is happy!
Kikwete is a grobal loughing stock....ha ha haaa!!!
Tumethubutu,tumeweza na tunasonga mbele..........hii ndo Tizii bwana!!!!!!!!Nazi kwenye Uongozi!!!
Tumethubutu,tumeweza na tunasonga mbele..........hii ndo Tizii bwana!!!!!!!!