Kwani Mtei hakuwa CCM?hawa ndio wale waliosemwa ni malaya wa kisiasa! yaani anaogopa kuambiwa ayatembelea dala!?
Teknolojia haidanganyi, subiria hapo hapo anakuja na evidenceSasa mbona jamaa yako kaingia mitini? Anionyeshe ni lini na wapi alinisikia nikisema hivyo.
Ushawahi kuiliza mwenye majority shares CRDB ni nani?
Pengine Mwenyekiti Wa Bodi, na vile visafari safari ambavyo Mzee Pinda huwa anaagizwa na Pombe.Si alisema hahitaji kwenda chama chochote? Sasa hata ukirudi huko CCM unaweza kuteuliwa au kuchaguliwa kuwa nani?
Sumaye hana njaa bwashee!Njaa mbaya sana!
Jamaa anatumia uhuru wake kikatiba. Hakuna ubaya hapo.
Niulizie ili iweje labda?Ushawahi kuiliza mwenye majority shares CRDB ni nani?