Mzee Sumaye: Nilihamia upinzani kwa faida ya CCM

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
"Watu wanafikiri nilienda Upinzani kwa sababu nilikasirika, lakini hapana, niliongea na Waandishi wa Habari nikawaeleza sababu ya mimi kuhamia upinzani ni niliona nchi inaenda kuongozwa kwa hasira, nikashauri tujenge chama kingine kama CCM ammbacho kitakuja kuongoza nchi kwa sababu najua kuna muda utafika Taifa lazima lingehitaji mabadiliko! Niliwaambia CCM kuwa mimi kuhamia upinzani ilikuwa ni kwa faida yao" -

Maneno ya Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Frederick Sumaye akihojiwa na Radio Clouds FM leo.
 
"Watu wanafikiri nilienda Upinzani kwa sababu nilikasirika, lakini hapana, niliongea na Waandishi wa Habari nikawaeleza sababu ya mimi kuhamia upinzani ni niliona nchi inaenda kuongozwa kwa hasira, nikashauri tujenge chama kingine kama CCM ammbacho kitakuja kuongoza nchi kwa sababu najua kuna muda utafika Taifa lazima lingehitaji mabadiliko! Niliwaambia CCM kuwa mimi kuhamia upinzani ilikuwa ni kwa faida yao" -

Maneno ya Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Frederick Sumaye akihojiwa na Radio Clouds FM leo.
stupid malaya wa kisiasa
 
Sumaye aseme ukweli huu, yeye na wenzake walienda upinzani wakidhani nchi ingechukuliwa na upinzani ili waendelee kuwa jikoni kuitafuna, bahati mbaya kwao, nchi ikabaki CCM, ndio maana nao wakarejea CCM, ni walafi tu.

Hayo mabadiliko anayotudanganya kuyataka, anajua fika yatamkatia mirija ya kuitafuna nchi, na siamini kama Sumaye yupo tayari kupungua mwili wake kwa kukosa ugali wake anaoupata sasa kwa hisani ya mwamvuli wa CCM.
 
"Watu wanafikiri nilienda Upinzani kwa sababu nilikasirika, lakini hapana, niliongea na Waandishi wa Habari nikawaeleza sababu ya mimi kuhamia upinzani ni niliona nchi inaenda kuongozwa kwa hasira, nikashauri tujenge chama kingine kama CCM ammbacho kitakuja kuongoza nchi kwa sababu najua kuna muda utafika Taifa lazima lingehitaji mabadiliko! Niliwaambia CCM kuwa mimi kuhamia upinzani ilikuwa ni kwa faida yao" -

Maneno ya Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Frederick Sumaye akihojiwa na Radio Clouds FM leo.
hana lolote huyo fisadi ndo maana alitukanwa na mkapa kwa huo ujinga.alijua kabisa anaenda kubanwa na JPM kwa kujilimbikizia mali isiyo halali.akakimbia ccm kutafuta unafuu huko cdm.hawa jamaa walishastaafu huwa wanaongea ongea sana lkn wakati wako madarakani walijiona ni miungu mtu.wapuuzeni hawa wajinga.
 
Kweli kabisa alikuja kuimarisha sasa swali langu ni hili mbona hakwenda CUF,CHAUMA,ACT, au NCCR MAGEUZI akahamia CHADEMA ambayo it was and it is a strong opposition party na akakikimbia chama kipindi ambacho kama captain Wa meli umaridani wake Wa uongozi ndipo ulihitajika, akawaacha abiria chomboni ?
 
Kweli kabisa alikuja kuimarisha sasa swali langu ni hili mbona hakwenda CUF,CHAUMA,ACT, au NCCR MAGEUZI akahamia CHADEMA ambayo it was and it is a strong opposition party na akakikimbia chama kipindi ambacho kama captain Wa meli umaridani wake Wa uongozi ndipo ulihitajika, akawaacha abiria chomboni
 
"Watu wanafikiri nilienda Upinzani kwa sababu nilikasirika, lakini hapana, niliongea na Waandishi wa Habari nikawaeleza sababu ya mimi kuhamia upinzani ni niliona nchi inaenda kuongozwa kwa hasira, nikashauri tujenge chama kingine kama CCM ammbacho kitakuja kuongoza nchi kwa sababu najua kuna muda utafika Taifa lazima lingehitaji mabadiliko! Niliwaambia CCM kuwa mimi kuhamia upinzani ilikuwa ni kwa faida yao" -

Maneno ya Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Frederick Sumaye akihojiwa na Radio Clouds FM leo.
Ovyoo
 
mtu wa kawaida anaona kbsa huyu jamaa hakuhamia kwa jema. lakini watu fulani wakamkaribisha wakampa na unenyekiti wa mkoa wa chama chao.. you can call CCM a lot of things but one name you cant call them is inept.they can smell a rat from a mile away.vyama vyetu vya upinzani are either inept or in it for other reasons. upinzani may have been genuine miaka ile but sidhani kama they're now..
 
Back
Top Bottom