Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya ametengwa au amejitenga na siasa za CCM na s=Serikali

Le mutuz jana aliunguruma Idodomia
 
Huyu mzee Msuya kwa sasa ana miaka88 acheni kumuweka mizania moja na kina Pinda na Warioba waliozaliwa miaka ya katikati ya 40.
Hata hivyo ni vile mzee anaishi a decent life otherwise angekuwa ni mwingine ungekuta hata kutembea hawezi.Huyu mzee na Malecela wamezidiana kidogo japo Msuya amemzidi Malecela kwa kwa miaka 3.
 
Yuko kijijini au yuko masaki?
 
Hahahaha...hivi ni kweli au ni utani wenu wachaga na wapare...
Bro Mpare ni bahili akina Sanga wakosome.
Hao jamaa wachoyo mnooo.
Huwaga aipenfi kuongea uongo hata kama ni utani.
Mpare akiwa mkuu wa idara mtalimia meno

Bahili mnoo.
Mchagga mwizi na mtafutaji mzuri lkn pia ni watoaji sana sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…