History-Victory
JF-Expert Member
- Sep 11, 2021
- 325
- 737
Mbona hotuba ya juzi alikuepo au hukutazama? Na alipewa nafasi ya kuongeaKabla hatujafika huko, kwanza tujibu swali hili;
Vice President, Dr. Philip Mpango yuko wapi? What's wrong with this Mzee?
Ili iweje,spika anaweza kuwa hats weweNi mbunge wa kuchaguliwa?
na kuwa na vinasaba vya kichawi kutarajia habari mbaya tu saa zote.Kuna watu wamezidisha kula maharagwe
Usihofu mpaka 2025 kuna watakaopunguaKuwa na utitiri wa PMs wastaafu nao ni mzigo tu kwa walipa kodi.
Mh. William Lukuvi
Jina lako ..linaleta mashaka kuamini but huenda code ya marope ndy unaimanisha sana uongo mkuu mdanganaji?Niko hapa Mbaramo tangu juzi. Kijiji kina ugeni mwingi sana V8 VXR ziko tatu. Hizi double kebini tinted ziko 4. Huko nje harufu ya nyama ya mbuzi imertawala.
Ngoja nasisi wagosi tule pesa ya Uma.
Ni bora hao wanaotambulika kisheria kuliko wale uviko 19 wasiokuwa na chama mule bungeni kwa hisani ya NdugaiKuwa na utitiri wa PMs wastaafu nao ni mzigo tu kwa walipa kodi.
Hukawi kuwa unajipigia debeMh. William Lukuvi
Sikutazama...Mbona hotuba ya juzi alikuepo au hukutazama? Na alipewa nafasi ya kuongea
Umekazana na Halima hadi unamsahau Mbowe, kumbuka kuna andiko linaonya kuwa "nilikuwa mfungwa hukunitembelea'Ni bora hao wanaotambulika kisheria kuliko wale uviko 19 wasiokuwa na chama mule bungeni kwa hisani ya Ndugai
Muangalie kwa jicho la kipekee Ummy Mwalimu!Siamini kama yatakuwa mabadiliko ya bandika bandua. Baada ya kifo cha Rais Magufuli Rais Samia HAKUTAKIWA kurithi Baraza la Mawaziri. Baadhi tuliweka msimamo huu sahihi wa Kikatiba wakati ule.
Sasa labda hatimaye ukweli umeonekana. Rais anaweza kumrudia Majaliwa kwa kumpendekeza kwa Bunge kuwa ni chaguo lake na yeye. Sasa hivi Majaliwa siyo chaguo lake, alimrithi kutoka JPM.
Kama siyo Majaliwa nani anaweza kusimamia agenda ya Samia?
Je ni zamu ya mwanamke?
Mmoja wa vijana wake wataka Urais?
Ishu ya spika nadhani yeyote anaweza kugombea hata kama hana jimbo. Nakumbuka Mabere Marando aliwahi kugombea kwa kupitia upinzani na hakuwa mbunge.Ni mbunge wa kuchaguliwa?
Kabla hatujafika huko, kwanza tujibu swali hili;
Vice President, Dr. Philip Mpango yuko wapi? What's wrong with this Mzee?
Kweli kabisa na ukichukulia karibia asilimia 90 yao wapo hai bado.......Kuwa na utitiri wa PMs wastaafu nao ni mzigo tu kwa walipa kodi.