Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,953
- 4,326
Hiyo ni ndege ya Air Tanzania - imekodishwa na ccm, hata wewe kama una pesa unaruhusiwa kuikodi kukupeleka po pote unakotaka. Nyingine leo imekodishwa na serikali kumpeleka rais wetu Kenya.Yaani anaenda kwenye shughuli za chama anatumia ndege ya serikali? hii ni dharau kubwa sn kwa watanzania.