Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Ni wale vijana wa lumumba ndiyo wanalinda hapo kwa shifts.Mwambieni awafikishie salam walinda kaburi wa zamu hapo chato.
Ni wale vijana wa lumumba ndiyo wanalinda hapo kwa shifts.Mwambieni awafikishie salam walinda kaburi wa zamu hapo chato.
Waziri mkuu wa Tanzania Mh Kassim Majaliwa leo amewasili Chato kwenda kumsalimia mama wa hayati rais Magufuli ambaye ni mgonjwa kwa muda mrefu, pia Mh Majaliwa ataenda kuangalia kaburi la Hayati Magufuli na kusalimiana na wanafamilia.
View attachment 1773308
Kwa hakika itamgharimu mama sana. Avunje aunde lingine.Samia amtumbue haraka huyu mfuasi wa Jiwe baada ya kuwatoa wale wengine sasa amalize na huyu.
On your dreams, Waziri mkuu hivi sasa ndiye tunayemtegemea zaidi kuliko wakati mwingine wowote ule.Samia amtumbue haraka huyu mfuasi wa Jiwe baada ya kuwatoa wale wengine sasa amalize na huyu.
Yaani anaenda kwenye shughuli za chama anatumia ndege ya serikali? hii ni dharau kubwa sn kwa watanzania.
Waziri mkuu wa Tanzania Mh Kassim Majaliwa leo amewasili Chato kwenda kumsalimia mama wa hayati rais Magufuli ambaye ni mgonjwa kwa muda mrefu, pia Mh Majaliwa ataenda kuangalia kaburi la Hayati Magufuli na kusalimiana na wanafamilia.
View attachment 1773308
Unalipa kodi wewe au umekariri tu tu kwamba kodi zetu. Kodi ya kupanga tu chumba huna halafu unakuja hapa nyenyenye... sijui kodi za babu yangu. PUMBAFU.Sasa ugeni huo ni wa kitaifa au ni wake binafsi?
Kodi zetu zinatumika vibaya ...labda hata kadanganya hajaenda maana haaminiki.
Una uhakika?Yaani anaenda kwenye shughuli za chama anatumia ndege ya serikali? hii ni dharau kubwa sn kwa watanzania.
Na kama wanataka wapate majibu kutoka kwa magufuli basi inampasa mwenyekiti wa chadema ndugu MBOWE naye afariki ili awe na uwezo wa kwenda ku-communicate na magufuli huko aliko.Hivi karibuni imezuka tabia ya kukwepa majukumu ambayo inapaswa kupingwa kwa hali na mali ndani ya nchi yetu.
Vyama vya upinzani hasa Chadema kila wanapopata matatizo kisingizio chao ni hayati rais Magufuli,!
Chadema wamesambaza mitandaoni vijana wa kumtetea Mbowe.
Kazi yao ni kuwapumbaza wanachama na wananchi kwa ujumla waone tatizo la chadema ni Magufuli wakati Magufuli hayupo na hakuwahi kuongoza chadema . Kila uzi humu Jamii forum lazima vijana wa Mbowe wataje na kutukana mwendazake!
Mwenyekiti na aliyekabidhiwa usukani wa kuiongoza Chadema ni Mbowe lakini hawataki aulizwe chochote.!!!
Kutokana na Chadema kufa kila mahali kwa kupoteza mvuto na kukimbiwa na madiwani na wabunge ,viongozi wamebuni mbinu ya kukwepa aibu hii kwa kujificha kwa hayati rais Magufuli!
Viongozi wa Chadema wakihojiwa kwa nini chama hakina ofisi watakujibu tatizo ni Magufuli.
Tundu Lisu akiulizwa kuwa yeye ni makamu mwenyekiti wa Chadema lakini kwa nini hafanyi kazi za Chadema? Bavichaa watakujibu chanzo ni Magufuli!
Bavicha ukiwauliza kwa nini kamati kuu ya Chadema wanafanyia vikao vyao kwenye hoteli za kitalii na kuacha ukumbi wa ufipa ? Utajibiwa tatizo ni hayati Magufuli!
Chadema wakiulizwa kwa nini kwenye uchaguzi mliwatosa makada wenu waliokipigania chama ,mkabadili gia angani na kutuletea mgombea urais ambaye yupo kwenye list of shame(orodha ya chadema ya mafisadi wakuu wa nchi )?
Utajibiwa tatizo ni mwendazake!
Bavicha na vijana wote mliosambazwa mitandaoni kumtetea Mbowe ,tambueni anayepaswa kuulizwa kuhusiana na mabaya na mazuri ya Chadema ni Mbowe na Tundu Lisu hao ndio viongozi wenu mliowapa ridhaa ya kuwaongoza kwa sasa.
Hayati Rais Magufuli hakuwahi kuwa kiongozi wa chadema ,hivyo kukaa mnamhusisha na kuporomoka kwa chama chenu ni kupoteza muda na kuonyesha uzwazwa wa hali ya juu.
Kuporomoka kwa Ccm wataulizwa SAMIA na Dr Nchongolo na lazima watoe majibu kwa sababu wao ndiyo viongozi wa ccm kwa sasa.
Kwa nini nyinyi hamtaki kupata majibu kwa Mbowe badala yake mnataka majibu yatoke kwa Magufuli
Only in Tanzania. Nchi nyingine huwezi kufanya hivi.....!!Waziri mkuu wa Tanzania Mh Kassim Majaliwa leo amewasili Chato kwenda kumsalimia mama wa hayati rais Magufuli ambaye ni mgonjwa kwa muda mrefu, pia Mh Majaliwa ataenda kuangalia kaburi la Hayati Magufuli na kusalimiana na wanafamilia.
View attachment 1773308
Na sisi tutafanya kila mbinu kukwepa kulipa kodi.anaemaind ajipe kudu.Ndio anatumia ndege ya serikali na hakuna ndezi yoyote atafanya kitu. Anaemaindi ajipime oil.
Hongera kwa kusema ukweli.Hizo siyo shughuli za chama! Ujue familia ya rais huhudumiwa na serikali. Kwa hiyo PM yuko kiserikali. Ni mchawi tu anayeweza kujisikia vibaya kuona wagonjwa wanajuliwa hali!
Labda ndege zile za duara ndogo wanapanda hata watu kumi usikuUlitaka atumie ndege ya nani?
Only in Tanzania. Nchi nyingine huwezi kufanya hivi.....!!