Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Hahahahhaaha muujiza unaanza kwa supika kwanza early next yrKwani muujiza usitendeke na kwa huyu pia?
Hahahahhaaha muujiza unaanza kwa supika kwanza early next yrKwani muujiza usitendeke na kwa huyu pia?
Kuna kitu umesahau kukisemea, hivi wewe unatambulika kwa lipi?Mwambieni awafikishie salam walinda kaburi wa zamu hapo chato.
Mbona kama unanilazimisha nimtambuwe huyo JPM wako kwani ni lazima? Halafu siyo lazima wewe unitambuwe hata nikitambuliwa na mkewangu inanitosha.Kuna kitu umesahau kukisemea, hivi wewe unatambulika kwa lipi?
What are you known for?
Hayati Magufuli anatambulika kwa memgi ... R.I.P my dearest brother John .P.M.
Na huyo alienda kumjulia hali ni mwananchi wa Jamhuri ya Muungano.Hiyi ni shughuli ya Chama gani?
Yeye mi Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hivo ndege za serikali ruksa
Na ndiyo huyo tu anakutambua.Mbona kama unanilazimisha nimtambuwe huyo JPM wako kwani ni lazima? Halafu siyo lazima wewe unitambuwe hata nikitambuliwa na mkewangu inanitosha.
Nimeaongea au Kuzungumzia falsafa kubwa sana ambayo kwa akili ya kawaida (average mind sitegemei uta ielewa). Ngoja nirudie kwa lugha ya visimbuzi WHAT ARE YOU KNOWN FOR?Mbona kama unanilazimisha nimtambuwe huyo JPM wako kwani ni lazima? Halafu siyo lazima wewe unitambuwe hata nikitambuliwa na mkewangu inanitosha.
Wewe endelea kumchukia, kukejeli na kutukana. Haipunguzi nukta hata moja. Kifupi haina madhara. Serikali ndo kama ivo inawatizama familia yake kwa karibuYa marehemu. Si alikuwa na eapoti yake😂
Nongwa za huyo marehemu ndiyo zimesababisha watu wamchukie
Wana shida ya kufikiri. Wote wamekuwa conditioned kufikiri kama yule zwazwa/zezeta wa ubeleji.Jamani acheni aende mbona mnawapangia watu kupenda anachoamini ?Kwenda kumsalimia huyo Mama nayo nongwa CHADEMA mna shida gani?
Dah.....Bora ya nyie mnaotofautisha Mali za Chama na serikali.... Wengine tunaona zote ni sawa tu...ni Kodi tunazolipaYaani anaenda kwenye shughuli za chama anatumia ndege ya serikali? hii ni dharau kubwa sn kwa watanzania.
Ulitaka atumie ndege ya baba yako? Stupid, very stupid indeed...mijitu mingine hovyo Sana...thinking capacity zero...Yaani anaenda kwenye shughuli za chama anatumia ndege ya serikali? hii ni dharau kubwa sn kwa watanzania.
Ndio.ila la jpm naona litalindwa tofauti maana na wananchi kutoka mikoa mbali mbali, wanaomba kuingia lindo.Hivi ulinzi wa kaburi la kiongozi huwa halina kikomo. Litalindwa miaka yote?
Litoto lidogo lakini lichawiiiiiiii ,we ulitaka atumie ndege yako!!!?Yaani anaenda kwenye shughuli za chama anatumia ndege ya serikali? hii ni dharau kubwa sn kwa watanzania.
DuuAnaenda kuhiji
Kuna watu wenye roho mbaya nchi hii kama ccm?! PumbafSamia amtumbue wakati naye ni mwanafunzi wa Hayati JPM. Wewe vipi? Chadema na vyama vya upinzani kinachowakosesha kura siku zote ni hoja za kitoto kama hizi. Mna Roho Mbaya sana. Ni Waziri Mkuu, anatumia ndege ya Serikali.
NimekutukanaLitoto lidogo lakini lichawiiiiiiii ,we ulitaka atumie ndege yako!!!?