Waziri Mkuu Kassim Majaliwa avamia mwendokasi, ahoji mapato yalipo kama wanashindwa kununua mabasi. Mkurugenzi wa fedha atumbuliwa

Tunarudi kule kule. Haya mambo si ya kuulizana jukwaani. Angemwita yeye na viongozi wake ili wakae waone tatizo liko wapi. Kama ni uongozi lingeonekana tu. Na kama ni serikali ingeonekana tu maana Meneja angeweza kusema kweli yake bila kuonekana kuwa anamdhalilisha WM hadharani. Inabidi viongozi wakuu wabadilike.

Amandla...
Bora umeung'amua huo usanii wa kiutendaji. Siku zote ukiona tatizo la kiutendaji linatatuliwa kwenye makamera, usitegemee ufumbuzi hapo zaidi ya kusaka kick. Halafu huwezi kuamini, subiri itokee huyo waziri Mkuu abadilike aje mwingine, utashangaa na yeye atakuta tatizo ni hilo hilo, na usishangae na yeye akitumia mbinu hiyo hiyo ya kick.
 
Acha hizo mpigaji hutakiwi kunegotiate naye, Kama ana majibu sahihi ya maswali anayoulizwa hawezi kuaibika. Kama Kuna upigaji wanafanya acha waaibike hadharani mbele ya wananchi.

Haya mambo ya kuoneana aibu yalitutesa Sana awamu ya JK, sasa JPM ameondoka wapigaji wanadhani watapata nafuu kumbe Moto ni uleule.

Ww ni wale mliokuwa mmeshiba propaganda kuwa mambo wakati wa Magufuli yalikuwa mazuri. Hilo tatizo la ticket na hayo mabasi lilianza juzi baada ya Magufuli kufariki? Waziri Mkuu alikuwa huyo huyo aliyeenda kusaka kick. Na kwa taarifa yako hapo utakuta tatizo ni la serikali, ila huyo PM anaenda kusaka cheap popularity.
 
Hayo mabasi 100 yanafanya kazi barabara zipi aisee?? Abiria wanajazana kituoni mabasi hayaji halafu mnasema mabasi yaliyo barabarani ni 100,aah wapi?

Mwendokasi ubabaishaji ni mkubwa sana, mfumo wa kuonesha tiketi kwenye mashine umekufa zaidi ya miaka 2 sasa na hakuna hatua zinazochukuliwa.

Mabasi yanayofanya kazi ni machache na hayo machache madereva wanapaki wanavyotaka..utasikia derava anakunywa chai, mara anapumzika nk
kwani mwenda zake alipo zindu kwa mara nyingine hizo changamoto hakuzipewa?
 
Kazi ipo.. ameongea kama kutafuta sababu ya kufungua muwanya.. pale hakuna mtu alikuwa anakula.. sasa wanabataka kufungua muwanya wale.. kwanini anamuhoji mkuu na kusimamia miundombinu ya mabasi yanapopita.. na sio mkuu wa ile kampuni binafusi? Viongozi wasiopiga pesa.. wanawakati mugumu sana sababu tu habaibii serikali na kuruhusu pesa ya mwananchi kuibwa..
 
Mwendo kasi inaendeshwa kwa hasara alisema bro kindamba mtu mzito apo sababu ya politics issues
 
Tunarudi kule kule. Haya mambo si ya kuulizana jukwaani. Angemwita yeye na viongozi wake ili wakae waone tatizo liko wapi. Kama ni uongozi lingeonekana tu. Na kama ni serikali ingeonekana tu maana Meneja angeweza kusema kweli yake bila kuonekana kuwa anamdhalilisha WM hadharani. Inabidi viongozi wakuu wabadilike.

Amandla...
Let me be the devil's advocate for a minute.

Viongozi wanataka wananchi muone wanafanya kazi mlizowatuma, muone hawakai bure tu na kuachia ubadhirifu ukiendelea.

Mumuone PM Majaliwa anawapigania wananchi wa Kimara.

Na mkiona wanafanya kazi hizi mlizowatuma ndiyo mtapata nguvu ya kuibua madudu zaidi wasaidie kusafisha.
 
Kazi ipo.. ameongea kama kutafuta sababu ya kufungua muwanya.. pale hakuna mtu alikuwa anakula.. sasa wanabataka kufungua muwanya wale.. kwanini anamuhoji mkuu na kusimamia miundombinu ya mabasi yanapopita.. na sio mkuu wa ile kampuni binafusi? Viongozi wasiopiga pesa.. wanawakati mugumu sana sababu tu habaibii serikali na kuruhusu pesa ya mwananchi kuibwa..
Mkuu hii lafudhi yako imenichekesha sana, umeongea kama mtu aliyebanwa na mafua
 
Tunarudi kule kule. Haya mambo si ya kuulizana jukwaani. Angemwita yeye na viongozi wake ili wakae waone tatizo liko wapi. Kama ni uongozi lingeonekana tu. Na kama ni serikali ingeonekana tu maana Meneja angeweza kusema kweli yake bila kuonekana kuwa anamdhalilisha WM hadharani. Inabidi viongozi wakuu wabadilike.

Amandla...
Kiki kiki kiki mpaka kwa viongozi wa juu
 
Safi Mh Majaliwa, usafiri wa mwendokasi route ya Kimara-Mbezi ni changamoto sana, mabasi hayatoshi.

Changamoto nyingine madereva huwa wanavimba sana anaweza kafika kituoni akapaki gari tu ,kituo cha mwendokasi unakaa nusu saa nzima unasubiri basi lije halafu pembeni kuna mmabasi kama matano yamekaa tu madereva wamepumzika ,ni chngamoto sana.
Unafikiri hapo ndiyo ameshatatua matatizo
Mzee...

Ova
 
Tunarudi kule kule. Haya mambo si ya kuulizana jukwaani. Angemwita yeye na viongozi wake ili wakae waone tatizo liko wapi. Kama ni uongozi lingeonekana tu. Na kama ni serikali ingeonekana tu maana Meneja angeweza kusema kweli yake bila kuonekana kuwa anamdhalilisha WM hadharani. Inabidi viongozi wakuu wabadilike.

Amandla...
Hii ni ili iwe fundisho kwa mameneja wengine. Excellent. Nchi yetu inahitaji sana aina hii ya ufuatiliaji na ukali
 
Tunarudi kule kule. Haya mambo si ya kuulizana jukwaani. Angemwita yeye na viongozi wake ili wakae waone tatizo liko wapi. Kama ni uongozi lingeonekana tu. Na kama ni serikali ingeonekana tu maana Meneja angeweza kusema kweli yake bila kuonekana kuwa anamdhalilisha WM hadharani. Inabidi viongozi wakuu wabadilike.

Amandla...
If you are not competent acha tukujue ili ukija mtaani tusikupe usimamizi.. uwe unatumwa maana ndio uwezo wako

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom