Kwenye taarifa ya habari ya TV karibu zote ameonekana Mh Hawa Ghasia akiongea na Wanahabari kuhusu Waziri Mkuu kuwatimua kazi Wakurugenzi wa Halmashauri kadhaa na kuwateua wengine na wengine kuhamishwa. Lakini ajabu habari hii haijaonekana hapa JF, kulikoni?
Mwenye taarifa kamili atuwekee hapa basi!
Updates , nimeipata hii hapaFriday, September 7, 2012
Waziri Mkuu apitisha chekeche kwa wakurugenzi wa halmashauri
Waziri Mkuu apitisha chekeche kwa wakurugenzi wa halmashauri
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo P. Pinda amewavua madaraka Wakurugenzi Sita, ameteua Kaimu Wakurugenzi sita, Wakurugenzi Wapya kumi na nne, na kuwahamisha Wakurugenzi ishirini na saba kutoka katika vituo vyao kutokana na sababu mbalimbali.
Miongoni mwa sababu hizo ni pamoja na kuonyesha Udhaifu katika kutekeleza majukumu, kustaafu, kujaza nafasi zilizo wazi katika Halmashauri Mpya zilizoanzishwa hivi karibuni na wengine wamebadilishiwa majukumu na kurejezwa katika kazi zao za awali.
Orodha ya majina ya Wakurugenzi hao, maeneo wanayotoka na sababu za mabadiliko ni kama ifuatavyo:-
(a) Wakurugenzi waliovuliwa Madaraka
Na. Jina Halmashauri anayotoka Maelezo
1. Bw. Willy J. Njau Mwanga DC Aliomba kurejeshwa katika majukumu yake ya awali kutokana na sababu za kiafya.
2. Bw. Mpangalukela Tatala
Geita DC Kushindwa kusimamia Rasilimaliwatu na fedha.
3. Bw. Theonest Nyamhanga Kishapu DC Kushindwa kusimamia
Rasilimaliwatu na Rasilimali Fedha.
4. Bw. Eden Munisi Morogoro DC Kuisababishia Halmashauri kupata Hati chafu na kushindwa kusimamia Rasilimali pamoja na uzembe.
5. Bw. Mhando H. Senyagwa Kyela DC Ana kesi Mahakamani
6. Bw. Nicholaus Kileka Ngorongoro DC Alikuwa na kesi iliyoendeshwa na TAKUKURU
(b) Wakurugenzi wapya wanaoteuliwa kujaza nafasi wazi
Na. Halmashauri Jinsia Taaluma /Cheo Halmashauri
Atokayo Aendayo
1. Abdalah A. Kidwanka ME Afisa Ardhi Mufindi DC Geita DC Kaimu
2. Rutius D. Bilakwata ME DPLO Kishapu DC Kishapu DC Kaimu
3. Naomi N. Nko KE DEO - Kaimu DED Mpanda DC Magu DC
4. Abdalah I. Mfaume ME DPLO Ukerewe DC Kyela DC
5. Twalib A. Mbasha ME Kaimu DED Monduli DC Monduli DC Kaimu
6. Henry R. Ruyagu ME Mhandishi – DC Urambo DC
Urambo DC Kaimu
7. Adam I. Mgoyi ME CIA Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali Mbarali DC
8. Estomih F. Chang'a ME Kaimu DED Arusha MC Mpanda DC
9. Leti Shuma KE DPLO Kibaha DC Mwanga DC
10. Mohamed A. Maje ME DEO Kilosa DC Namtumbo DC
11. Fulgency Mponji ME DEO Songea MC Moshi DC
12. Robert Nehata ME DCO Njombe DC Tunduru DC
13. Isabela O. Chilumba KE DHRO Morogoro MC Kahama DC
14. Fikiri Malembeka ME DPLO Kilombero DC Sengerema DC
15. Isabela D. Chilumba KE DALDO Tandahimba DC Ulanga DC
16. Nasib Mbaga KE DPLO Mufindi DC Biharamulo DC
17. Iddi Nganya ME DHRO Nzega DC Makete DC Kaimu
18. Jovin Jungu ME TEO Masasi TC Chamwino DC Kaimu
19. Paul S. Malala ME DPLO Iringa MC Njombe DC
20. Felix P. Mabula ME Mhasibu Bukombe DC Hanang DC Kaimu
(c) Wakurugenzi wanaohamishwa ili kujaza vituo wazi
NA. JINA KAMILI JINSI TAALUMA /CHEO HALMASHAURI
ATOKAYO AENDAYO
1. Bi. Bibie Mnyamagola KE Mkurugenzi Mtendaji Kilindi DC Kongwa DC
2. Daudi R. Mayeji ME Mkurugenzi Mtendaji Chamwino DC Kilindi DC
3. Bw. Protace T. Magayane ME Mkurugenzi Mtendaji Igunga DC Nkasi DC
4. Bi. Saada Mwaruka KE Mkurugenzi Mtendaji Nkasi DC Mkuranga DC
5. Sipora J. Liana KE Mkurugenzi Mtendaji Mkuranga DC Tabora MC
6. Hadija Makuwani KE Mkurugenzi wa Manispaa Tabora MC Tabora DC
7. Bi. Doroth Anatoli Rwiza KE Mkurugenzi Mtendaji Tabora DC Kasulu DC
8. Kelvin Makonda ME Mkurugenzi Mtendaji Kasulu DC Lindi MC
9. Pudenciana Kisaka KE Mkurugenzi Mtendaji Ulanga DC Iringa DC
10. Tina Sekambo KE Mkurugenzi Mtendaji Iringa DC Makambako TC
11. Beatrice R. Dominic KE Mkurugenzi Mtendaji Bukoba DC Masasi DC
12. Gladyness Ndyamvuye KE Mkurugenzi Mtendaji Masasi DC Bukoba DC
13. Nathan Mshana ME Mkurugenzi wa Manispaa Musoma MC Ngorongoro DC
14. Cornel Ngudungi ME Mkurugenzi Mtendaji Magu DC Ngara DC
15. Mohamed Mkupete ME Mkurugenzi Mtendaji Njombe DC Mtwara MC
16. Dr. Koroine Ole Kuney KE Mkurugenzi Mtendaji Ngorongoro DC Misungwi DC
17. Ephraem Ole Nguyaine Me Mkurugenzi Mtendaji Tunduru DC Rorya DC
18. Goody Pamba KE Mkurugenzi Mtendaji Hanang DC Igunga DC
19. Fidelis Lumato ME Mkurugenzi Tarime DC Ludewa DC
20. Athuman O. ME Mkurugenzi Kongwa DC Tarime DC
21. Ahmad S. Sawa ME Mkurugenzi wa Mji Lindi TC Musoma MC
WakurW
(d) Wakurugenzi wanaohamishwa kwenda kwenye Halmashauri mpya.
Na. Jina Kamili Jinsia Taaluma /Cheo Halmashauri
Atokayo Aendayo
1. Magreth Nakainga
KE DED Mtwara MC Geita TC
2. Eliza Bwana KE DED Kahama DC Bariadi TC
3. Zuberi Mbyana ME DED Biharamulo DC Ilemela MC
4. Mohamed Nanyanje ME DEO (SEC) Sumbawanga MC Masasi TC
5. Erica Musika KE DED Sengerema DC Kahama TC
6. Imelda Ishuza KE DED Makete DC Busokelo DC
Serikali haitasita kuchukua hatua mbalimbali pale inapobidi ili kuboresha utendaji kazi na kuwafanya watumishi wawajibike katika majukumu yao ipasavyo.
IMETOLEWA NA:
MHE. HAWA A. GHASIA (MB)
WAZIRI WA NCHI - OFISI WAZIRI MKUU
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
Mwenye taarifa kamili atuwekee hapa basi!
Updates , nimeipata hii hapaFriday, September 7, 2012
Waziri Mkuu apitisha chekeche kwa wakurugenzi wa halmashauri
Waziri Mkuu apitisha chekeche kwa wakurugenzi wa halmashauri
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo P. Pinda amewavua madaraka Wakurugenzi Sita, ameteua Kaimu Wakurugenzi sita, Wakurugenzi Wapya kumi na nne, na kuwahamisha Wakurugenzi ishirini na saba kutoka katika vituo vyao kutokana na sababu mbalimbali.
Miongoni mwa sababu hizo ni pamoja na kuonyesha Udhaifu katika kutekeleza majukumu, kustaafu, kujaza nafasi zilizo wazi katika Halmashauri Mpya zilizoanzishwa hivi karibuni na wengine wamebadilishiwa majukumu na kurejezwa katika kazi zao za awali.
Orodha ya majina ya Wakurugenzi hao, maeneo wanayotoka na sababu za mabadiliko ni kama ifuatavyo:-
(a) Wakurugenzi waliovuliwa Madaraka
Na. Jina Halmashauri anayotoka Maelezo
1. Bw. Willy J. Njau Mwanga DC Aliomba kurejeshwa katika majukumu yake ya awali kutokana na sababu za kiafya.
2. Bw. Mpangalukela Tatala
Geita DC Kushindwa kusimamia Rasilimaliwatu na fedha.
3. Bw. Theonest Nyamhanga Kishapu DC Kushindwa kusimamia
Rasilimaliwatu na Rasilimali Fedha.
4. Bw. Eden Munisi Morogoro DC Kuisababishia Halmashauri kupata Hati chafu na kushindwa kusimamia Rasilimali pamoja na uzembe.
5. Bw. Mhando H. Senyagwa Kyela DC Ana kesi Mahakamani
6. Bw. Nicholaus Kileka Ngorongoro DC Alikuwa na kesi iliyoendeshwa na TAKUKURU
(b) Wakurugenzi wapya wanaoteuliwa kujaza nafasi wazi
Na. Halmashauri Jinsia Taaluma /Cheo Halmashauri
Atokayo Aendayo
1. Abdalah A. Kidwanka ME Afisa Ardhi Mufindi DC Geita DC Kaimu
2. Rutius D. Bilakwata ME DPLO Kishapu DC Kishapu DC Kaimu
3. Naomi N. Nko KE DEO - Kaimu DED Mpanda DC Magu DC
4. Abdalah I. Mfaume ME DPLO Ukerewe DC Kyela DC
5. Twalib A. Mbasha ME Kaimu DED Monduli DC Monduli DC Kaimu
6. Henry R. Ruyagu ME Mhandishi – DC Urambo DC
Urambo DC Kaimu
7. Adam I. Mgoyi ME CIA Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali Mbarali DC
8. Estomih F. Chang'a ME Kaimu DED Arusha MC Mpanda DC
9. Leti Shuma KE DPLO Kibaha DC Mwanga DC
10. Mohamed A. Maje ME DEO Kilosa DC Namtumbo DC
11. Fulgency Mponji ME DEO Songea MC Moshi DC
12. Robert Nehata ME DCO Njombe DC Tunduru DC
13. Isabela O. Chilumba KE DHRO Morogoro MC Kahama DC
14. Fikiri Malembeka ME DPLO Kilombero DC Sengerema DC
15. Isabela D. Chilumba KE DALDO Tandahimba DC Ulanga DC
16. Nasib Mbaga KE DPLO Mufindi DC Biharamulo DC
17. Iddi Nganya ME DHRO Nzega DC Makete DC Kaimu
18. Jovin Jungu ME TEO Masasi TC Chamwino DC Kaimu
19. Paul S. Malala ME DPLO Iringa MC Njombe DC
20. Felix P. Mabula ME Mhasibu Bukombe DC Hanang DC Kaimu
(c) Wakurugenzi wanaohamishwa ili kujaza vituo wazi
NA. JINA KAMILI JINSI TAALUMA /CHEO HALMASHAURI
ATOKAYO AENDAYO
1. Bi. Bibie Mnyamagola KE Mkurugenzi Mtendaji Kilindi DC Kongwa DC
2. Daudi R. Mayeji ME Mkurugenzi Mtendaji Chamwino DC Kilindi DC
3. Bw. Protace T. Magayane ME Mkurugenzi Mtendaji Igunga DC Nkasi DC
4. Bi. Saada Mwaruka KE Mkurugenzi Mtendaji Nkasi DC Mkuranga DC
5. Sipora J. Liana KE Mkurugenzi Mtendaji Mkuranga DC Tabora MC
6. Hadija Makuwani KE Mkurugenzi wa Manispaa Tabora MC Tabora DC
7. Bi. Doroth Anatoli Rwiza KE Mkurugenzi Mtendaji Tabora DC Kasulu DC
8. Kelvin Makonda ME Mkurugenzi Mtendaji Kasulu DC Lindi MC
9. Pudenciana Kisaka KE Mkurugenzi Mtendaji Ulanga DC Iringa DC
10. Tina Sekambo KE Mkurugenzi Mtendaji Iringa DC Makambako TC
11. Beatrice R. Dominic KE Mkurugenzi Mtendaji Bukoba DC Masasi DC
12. Gladyness Ndyamvuye KE Mkurugenzi Mtendaji Masasi DC Bukoba DC
13. Nathan Mshana ME Mkurugenzi wa Manispaa Musoma MC Ngorongoro DC
14. Cornel Ngudungi ME Mkurugenzi Mtendaji Magu DC Ngara DC
15. Mohamed Mkupete ME Mkurugenzi Mtendaji Njombe DC Mtwara MC
16. Dr. Koroine Ole Kuney KE Mkurugenzi Mtendaji Ngorongoro DC Misungwi DC
17. Ephraem Ole Nguyaine Me Mkurugenzi Mtendaji Tunduru DC Rorya DC
18. Goody Pamba KE Mkurugenzi Mtendaji Hanang DC Igunga DC
19. Fidelis Lumato ME Mkurugenzi Tarime DC Ludewa DC
20. Athuman O. ME Mkurugenzi Kongwa DC Tarime DC
21. Ahmad S. Sawa ME Mkurugenzi wa Mji Lindi TC Musoma MC
WakurW
(d) Wakurugenzi wanaohamishwa kwenda kwenye Halmashauri mpya.
Na. Jina Kamili Jinsia Taaluma /Cheo Halmashauri
Atokayo Aendayo
1. Magreth Nakainga
KE DED Mtwara MC Geita TC
2. Eliza Bwana KE DED Kahama DC Bariadi TC
3. Zuberi Mbyana ME DED Biharamulo DC Ilemela MC
4. Mohamed Nanyanje ME DEO (SEC) Sumbawanga MC Masasi TC
5. Erica Musika KE DED Sengerema DC Kahama TC
6. Imelda Ishuza KE DED Makete DC Busokelo DC
Serikali haitasita kuchukua hatua mbalimbali pale inapobidi ili kuboresha utendaji kazi na kuwafanya watumishi wawajibike katika majukumu yao ipasavyo.
IMETOLEWA NA:
MHE. HAWA A. GHASIA (MB)
WAZIRI WA NCHI - OFISI WAZIRI MKUU
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA