Finufingi
Senior Member
- Feb 1, 2012
- 139
- 50
Mimi bado najiuliza uteuzi wa Wakurugenzi na Wakuu wa idara katika Halmashauri zetu unazingatia vigezo gani? Kufahamiana, utendaji, elimu, utumishi wa mda mrefu au ni nini?
Katika kuangalia sijapata vigezo vinavyotumika labda wadau wasaidie kutoa somo hapa.
Natanguliza shukrani
.......wengi wao wananunua vyeo hivyo, na wanajulikana..........kama wale wawili walioteuliwa kutoka MUFINDI DC, ni pesa tu maana utendaji wao hata kwa madiwani wao ulikuwa wa mashaka......inapendeza lakini kama fedha ndio kigezo........tusubiri yatakayo wakuta huko.