ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,726
- 28,281
Imeisha hiyoTunataka sababu ya kuahirishwa mechi,mbona anakwepa hapo?
Imeisha hiyoTunataka sababu ya kuahirishwa mechi,mbona anakwepa hapo?
Acha uthenge,Rais anahusika vipi hapo jinga wewe la kisukumaAah hapa mama anajishushia heshima sasa. Kwa nn wasije na tamko lenye sababu na nani yuko nyuma ya mchezo kuvurugwa. Huku mtaani watu washaanza kuona uzembe wa serikali hii.
Mbona vitu vya kawaida hivyo unakuta mgonjwa mchana unamuacha anakula na kuongea vizuri ila usiku hali inachange na kufariki.Huyu naye ni Mhuni na laghai Mkubwa. Alitwambia Mwendazake anapitia mafaili. Kweli akapitia mafaili jumla.
Wengi wao ni wasomali!Tuwachunguze viongozi wa TFF kama ni watanzania. Twaweza kuta kumbe siyo watanzania ila wanatoka katika nchi ambayo vurugu ni sehemu ya maisha yao.
Waziri Mkuu wetu hopeless sanaUkimsikiliza anavyoaddress hii issue unakuwa unafikiri neno linalofuata ndiyo lenye uzito ila mpk mwisho hakuna chochote ametoa tamko rahisi ambalo lingeweza kutolewa na yeyote tu wa chini yake mambo mengine ni petty issues tuwaachie wa chini wayahandle tu hasa kwa aliyoyasema. Labda kama angesimama kuzungumzia nini ilikuwa sababu hasa ya delaying ya kick off kutoka 11 mpk 1 lakini sijui lini itachezwa mara viingilio hata Ndimbo angeweza kusema achilia mbali Karia
Nani wa kuwatapisha?!Pesa ya kiingilio TFF huwa na tabia ya kugawana hata kabla ya mechi, dili limebuma watazitapika.
Kama walikuwa wanacheza na wizara iliyobadi muda na kusababisha kuahirishwa kwa mechi wapewe hizo point na magoli.Ni jambo jema!
Yanga wanastahili kupewa Pweinti 3 na magoli 2.
Yanga HAKUNA walio kwenye swaumu? Au wanakula bila kujali mwezi mtukufu?Simba ndio waliosababisha.Wachezaji wao wengi wamefunga Ramadhani wakawaambia TFF kuwa watakuwa hawana nguvu sababu ya swaaumu hhivyo wakaomba mchezo uchezwe saa moja usiku baada ya wao kufuturu saa 12 jioni
Ndipo sisi yanga tukagoma sababu kanuni ya kubadilishwa imekiukwa
Watacheza pale Yanga ikikubali Kipigo.Akiwa bungeni leo, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa, amewataka TFF kwa kushirikiana na Wizara ya Habari na Michezo kusema lini Simba na Yanga zitacheza.
Pia amewataka Watanzania kuwa wavumilivu kwa usumbufu uliojitokeza siku ya Jumamosi, hasa wale waliolipa viingilio siku ya mchezo ijulikane hatma yao.
Kwanini asiulize sababu ya kuahirisha mechi?
Ajulikane huyo aliyesababisha usumbufuTukienda huenda Kuna mtu akalaliwa na gogo na yeye ukute ni kigogo..
Yeye na Rais wake wote walituongopea kuhusu Magufuli, hawaaminiki hawa waseme tu ukweli kilichofanya wabadili muda wa mechi.Huyo Pm haaminiki tangia alipotutangazia Mwendazake yuko ofsin anapiga kazi kisawa sawakumbe yuko kwenye freezer
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Tangu aongee uongo msikitini nilimwona hana maana kabisaHuyu naye ni Mhuni na laghai Mkubwa. Alitwambia Mwendazake anapitia mafaili. Kweli akapitia mafaili jumla.
MamaNani wa kuwatapisha?!