Waziri Mkuu aitaka Wizara kutoa taarifa haraka kuhusu Mechi ya Simba na Yanga pamoja na Viingilio vya Mashabiki

Wasitufanye kuwa Watanzania wote ni mambumbumbu.Tatizo hapa siyo ratiba ya mechi kurudiwa wala siyo mambo ya viingilio vilivyokwisha kuchukuliwa.

Tatizo hapa ni serikali kukiuka kanuni za FIFA kwa kuingilia mambo ya michezo kitu ambacho kitatugharimu kama Taifa.Hivi kama Taifa tumetenda dambi gani hadi tunakuwa tunapata viongozi wapumbavu mfulilizo namna hii?!This is annoying!😡😡😡
 
Wasitufanye kuwa Watanzania wote ni mambumbumbu.Tatizo hapa siyo ratiba ya mechi kurudiwa wala siyo mambo ya viingilio vilivyokwisha kuchukuliwa.Tatizo hapa ni serikali kukiuka kanuni za FIFA kwa kuingilia mambo ya michezo kitu ambacho kitatugharimu kama Taifa.Hivi kama Taifa tumetenda dambi gani hadi tunakuwa tunapata viongozi wapumbavu mfulilizo namna hii?!
Hao viongozi wanatoka miongoni mwetu sasa tujichunguze raia wenyewe tukoje?
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kutoa taarifa haraka sana kwa Watanzania juu ya tarehe ya kuchezwa kwa mchezo huo na pia ieleze utaratibu kuhusu hatima ya waliolipa viingilio ili kushuhudia mchezo huo.

Pia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewasihi Watanzania kuwa wavumulivu ili kuipa muda Wizara kwa kushirikiana na taasisi zinazosimamia mpira wa miguu ikiwemo TFF kuja na taarifa juu ya hatima ya mchezo huo.
Kama maneno haya kaongea waziri mkuu kama ulivyoandika basi inasikitiosha sana kiongozi mkuu kuongea namna hii. nilitegemea angesema watoe taarifa nani alisababisha hili jambo na wawajibishwe haraka sio wapange game kwani hiyo kazi ya wizara kupanga game za league. sitaki kuamini kasema haya mpaka nione video vingenevyo waziri mkuu kajishusha sana kwa hili labda yeye alihusika katika hili anataka funika kombe mwana haramu apite.
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Wapenzi wa mpira kama kweli wako serious lazima kampeni ifanywe hakuna mtu kwenda mpirani mechi hiyo na pesa zao wadai warudishiwe.
 
Waziri mkuu taaluma yake ni ualimu ,hii nchi inahtaji kupata viongozi wanasheria ,sisi tunahtaji kupata sababu zilizopelekea mechi kuahirishwa,sio ratiba yakurudiwa

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Wasitufanye kuwa Watanzania wote ni mambumbumbu.Tatizo hapa siyo ratiba ya mechi kurudiwa wala siyo mambo ya viingilio vilivyokwisha kuchukuliwa.Tatizo hapa ni serikali kukiuka kanuni za FIFA kwa kuingilia mambo ya michezo kitu ambacho kitatugharimu kama Taifa.Hivi kama Taifa tumetenda dambi gani hadi tunakuwa tunapata viongozi wapumbavu mfulilizo namna hii?!
Rafiki wee si unapenda chura, mbona aliyepo juu sahivu ana chura, au humuonagi?

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Hivi mtu mzima akijamba si anasingiziwa mtoto kulinda heshima basi kwa hili baada ya kusikiliza video waziri mkuu anahusika 100% lakini tuwasingizie TFF tu mwana haramu apite. Ila nawaomba washabiki wasiende kuangalia game waache viongozi tu waende kuburidika. Tutatizama Tv.
 
Simba ndio waliosababisha.Wachezaji wao wengi wamefunga Ramadhani wakawaambia TFF kuwa watakuwa hawana nguvu sababu ya swaaumu hhivyo wakaomba mchezo uchezwe saa moja usiku baada ya wao kufuturu saa 12 jioni.

Ndipo sisi yanga tukagoma sababu kanuni ya kubadilishwa imekiukwa.
Sio kweli, kufuturu ni saa 12.30 , mechi saa moja, mtu anapta muda upi wa kufuturu afu saa moja awe uwanjani
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kutoa taarifa haraka sana kwa Watanzania juu ya tarehe ya kuchezwa kwa mchezo huo na pia ieleze utaratibu kuhusu hatima ya waliolipa viingilio ili kushuhudia mchezo huo.

Pia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewasihi Watanzania kuwa wavumulivu ili kuipa muda Wizara kwa kushirikiana na taasisi zinazosimamia mpira wa miguu ikiwemo TFF kuja na taarifa juu ya hatima ya mchezo huo.
Vyovyote iwavyo wametoa boko
 
Simba ndio waliosababisha.Wachezaji wao wengi wamefunga Ramadhani wakawaambia TFF kuwa watakuwa hawana nguvu sababu ya swaaumu hhivyo wakaomba mchezo uchezwe saa moja usiku baada ya wao kufuturu saa 12 jioni.

Ndipo sisi yanga tukagoma sababu kanuni ya kubadilishwa imekiukwa.
Unaonyesha wewe.ni mmoja wa wale waliotolewa mfano na Eymael
 
Ilikuwa hivi K alimwambia B wambie tff wasogeze mbele mechi hiyo ili tuwahi kuiona mechi kutoka dodoma I aliwambia haiwezekani kusogeza mbele kwani tff wanasheria zao za mpira
Ushauri hili tatizo ni bora tulipeleke FIFA watoe maamuzi hapa nchini hatuwezi wote tuna mahaba na hizi timu
 
Tunataka sababu ya kuahirishwa mechi, mbona anakwepa hapo?
Sawia mkuu, tutafute pale tulipojikwaa na si pale tulipoangukia. Nimependa kutogusia gharama za usafiri kufidiwa maana itatuhusu hata sie tuliopanda daladala kwa sh 400/= kurejeshewa.
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom