Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,404
- 36,543
Tff wanasikitika, Bodi ya Ligue inasikitika, Serikali nayo iliyosingiziwa kuamrisha mchezo kusogezwa mbele mtendaji mkuu wake naye anasema anataka taatifa toka kwa walioahirisha......yaani ni upuuzi mtu