Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

Waziri Masha na Kashfa ya Vitambulisho

- Obasanjo kuwafukuza kazi mawaziri wake haina maana yoyote kwetu Tanzania, kwanza yeye mwenyewe Obasanjo ni corrupt, the ishu hapa ni je Masha alikutana na Sagem Geneva au hapana? Na je Sagem ni kampuni yenye rushwa au hapana? Na je waziri wetu alijua mapema au hakujua?



- Swali ni je waziri alikutana na sagem huko Geneva au hapana? Wewe umeleta ushahidi wa google na ukadai kwamba kwa sababu uko hiyo wewe uko sayayri nyingine sasa ninakuuliza hivi serikali yetu itumie huu ushahidi wa google kumfukuza kazi waziri? Huu ushahidi wako wa google hata huko Nigeria umeshindwa kuwa-convict watuhumiwa sasa tutaufanyia nini?

- Ya power-breakfast ndio hayo, limeshindwa bunge letu la taifa sasa nani mwingine tena ataweza? Ninaomba kurudia tena kwamba kenye hili la vitambulisho waziri amelipangua tayari, akishakataa Spika tu ujue basi. Kosa lililofanyika ni papara za kutaka kumpata waziri na makosa, I hope litakuwa fundisho in the future kwamba ishu zingine zinahitaji kuachiwa mpaka zifike mwisho kwanza ndio uwapate wanaoshuka kwenye hili kuna mtu aliyekosea na kuwafanya wahusika washituke mapema, halafu ni lazima tuwe makini na hizi barua za ku-leak, maana in this case zilizkuwa zinalikishwa na wale wale wahusika tena kwa makusudi, matokeo ndio haya hakuna kinachoeleweka, yaani form a suspect to a victim, sasa hiii safisha safisha jina sio yeye anayeifanya ila kuna kikundi behind kinachomuongoza, yaani Kingunge, Almeir na Makamba na the boss ni the man Lowassa, akisaidiana na Nchimbi.

Tanzania tumefikaje huku maana hapa mbele ni giza tupu, hatuwezi kuwashupalia watangazaji wa Clouds hivi tulitegemea wafanye nini maskini wa Mungu wanaojaribu tu kutafuta riziki zao ambacho bunge limeshindwa kukifanya?

Umesomeka vizuri sana. But natoa angalizo: safari ya Masha ilianzia wapi? na kwanini alianzia huko? Majina uliyoyataja Mkuu yana maana kubwa kuliko wengi wanavyoyasoma katika maandishi, na kijana anapita juu ya "zulia jekundu" lililoandaliwa na usingetegemea lolote pale Clouds. Lakini kuna jambo moja tu, katika Presss Conf alisema hawafahamu kabisa SAGEM na hajawahi kukutana nao, leo anasema alikutana nao lakini si katika hoteli iliyoandikwa katika magazeti.

Angalizo lingine ni tuzitizame hizi kampuni kwa jicho makini zaidi:

Unisys ya Afrika Kusini, Giesecke & Devrient Fze ya Dubai, Iris Corporation Berhad ya Malaysia, Madras Security Printers ya India, Maruben Corporation ikishirikiana na Zetes na Nec ya Japan, Tata Consultancy Services ikishirikiana na Ontrack Innovations Ltd ya India.
 
Unauhakika na Tido kumbana kweli?????

Mkuu Tuandamane Tiddo namwaminia anajua sana kuwapiga maswali kuhoji viongozi alimhoji Makamba nakumbuka mpaka Makamba akawa mkali nakumbuka vilevile aliwahi mhoji Mrema Lyatonga mpaka akawa anajikanyaga mwenyewe.
Huyu mzee kipindi chake cha kila jmosi BBC nilikuwa sikosi.
 
Hapa mnazungushana maneno tu... Masha kafunga kamba kushoto na kulia na mwenyewe anabembea katikati.. Hajajibu maswali ya msingi kuhusu hili la SAGEM na badala yake ameendelea kuzungusha maneno!
 
Hapa mnazungushana maneno tu... Masha kafunga kamba kushoto na kulia na mwenyewe anabembea katikati.. Hajajibu maswali ya msingi kuhusu hili la SAGEM na badala yake ameendelea kuzungusha maneno!

Kiongozi gani anayejibugi maswali moja kwa moja bila kuzungusha (spin) especially kama anaulizwa kuhusu kitu chenye utata?
 
Umesomeka vizuri sana. But natoa angalizo: safari ya Masha ilianzia wapi? na kwanini alianzia huko? Majina uliyoyataja Mkuu yana maana kubwa kuliko wengi wanavyoyasoma katika maandishi, na kijana anapita juu ya "zulia jekundu" lililoandaliwa na usingetegemea lolote pale Clouds. Lakini kuna jambo moja tu, katika Presss Conf alisema hawafahamu kabisa SAGEM na hajawahi kukutana nao, leo anasema alikutana nao lakini si katika hoteli iliyoandikwa katika magazeti.

Angalizo lingine ni tuzitizame hizi kampuni kwa jicho makini zaidi:

Unisys ya Afrika Kusini, Giesecke & Devrient Fze ya Dubai, Iris Corporation Berhad ya Malaysia, Madras Security Printers ya India, Maruben Corporation ikishirikiana na Zetes na Nec ya Japan, Tata Consultancy Services ikishirikiana na Ontrack Innovations Ltd ya India.

G&D ndio hawa: Tutafahamishana baadaye nini maana yake kwanza tusome:
GIESECKE & DEVRIENT

Giesecke & Devrient (G&D) is an internationally operating technology group. The organization is a leading

supplier of banknotes and security documents, banknote and security paper and currency automation systems as well

as cards, components and complete multifunctional smart card solutions for electronic payment systems and

telecommunications.

The Giesecke & Devrient group of companies employs roughly 7000 people worldwide, and generates an annual

turnover exceeding EURO 1 Billion.

Giesecke & Devrient Holding FZE

P.O. Box 54325
P.O. Box 54264
Dubai
Dubai
United Arab Emirates United Arab Emirates

Tel: +971-4-299 5313 Tel: +971-4-299 4033
Fax: +971-4-299 5234 Fax: +971-4-299 6080
E-mail: ganddfze@emirates.net.ae



Website: Giesecke & Devrient GmbH

*



Giesecke & Devrient serves many corrupt rogue regimes....

By Marvin Welsh -

It is on record that Giesecke & Devrient have meddled in numerous countries ruled by rogue and corrupt

leaderships, in persuit of quick money. Mobuto was supported by shipments from Munich until his very end.

Tanzania recently uncovered a bribery scandal, involving the governor of the central bank who since fled to the

USA with several Million Dollars, received from Giesecke & Devrient, as has been proven without fail, by the

Tanzanian authorities. The company is alleged to have expended almost half a billion US Dollars in bribes to

Nigerian officials during the the past 12 years, securing lucrative bank note orders for their Leipzig and

Ontario printing plants. As a coverup of their scull daggery, a Dubai shopfront is being utilized most

effectively for a decade, through which merchandize is invoiced craftily, saving huge amounts of taxes, as the

mother company invoices the Dubai subsidiary only half the amount the clients get invoiced and pay Dubai. The

difference is reportedly used for bribing corrupt officials in a grand style, securing orders all over Africa and

Asia. In order to make things more efficient even, the German company prides itself with employing routine cartel

practices with competing firms, in order to keep prices high. Another well known client is the regime in Burma,

with whom Giesecke & Devrient have been doing business for the past 30 and some years.
Their current Zibabwe activities would appear modest, in comparison to the 2 Billion dollars of revenues

earned worldwide...........
France 24 | Are some Mugabe-condemning nations hypocritical? | France 24
 
Long way to go bro! Mkuu FMES wakati wa kudai uhuru ulikuwa unataka ushahidi?

Kuna haja ya kupinga ufisadi hata kwa harufu tu. Ushahidi, utawala bora na haki za binaadamu umekuwa wimbo wa wanaCCM.

Masanilo

Hivi humjui FMES kuwa ni kada mzuri wa chama cha mafisadi? Hata km issue ipo kwa maslahi ya wananchi but yeye huwa anatetea tu ili mradi aonekane ni mtetezi wa chama chao.
Kwanini hii kampuni ionekane sehemu zote ilizopata tenda kuna malalamiko kama si ya kiufundi ktk kazi zao basi kuna malalamiko mengine kama hayo ya kubebwa n.k. Hivi hatujiulizi ni kwanini km kampuni yako imeomba tenda na inajiamini kwamba kazi zake ni za uhakika, utaalamu wa hali ya juu na ulinzi imara uanze kutaka kuingilia mlango wa nyuma?

Thanks
 
Halisi... mimi nadhani itabidi nitoboe tu ukweli naona wenzetu huko mnawaumia umia meno, hawa jamaa wanachezea Watanzania kama wanasesere! Hivi watu hawajajiuliza Waziri anasema alikuwa anatoka Dubai akapitia Uswisi halafu kwenye tenda tunakutana na kampuni ya Dubai na nyingine inayolalamikiwa inatoka Uswisi?

Nitaamua kusema kama huyu bwana hajiuzulu maana hata kujaribu kufumba macho kumpa nafasi inakera. Just wait...
 
Yaani kweli atazungumzia 5 % mbele ya dereva wake kweli? Atakuwa mpuuzi kiasi hicho? I find it hard to believe!

Kama aliweza kuzungumzia mpango wa kumfilisi Mengi mbele ya wengi atashindwaje mbele ya mtu mmoja???????????
 
Stop calling pipo names hunijui mazee kama nisivyokujua wewe....ingawa wewe hujifanya wajua kila mtu hahahaha misfire hiyo, hili la usalama limetoka wapi tena ? leta hoja usikimbilie kwenye vioja na vionjo.


Peace

Masanilo
Nilijua mzee wa dataz AKA AKA atafika huko nilijua tu.....jamaa dizaini kapararaizi akili huwa akishindwa hoja utasikia ..nakujua wewe si nani sijui vile sijui yale.....kakaniboa kazee hako.....

Shem kata ishu asikutishe huyo......hatuangalii ushikaji hapa....kijamaa kinaboaaa praak
 
Heheheheee...bongo bana. Yaani miskendo kiiiiiibao hadi mingine inasahaulika...

Kwa mfano, vipi kuhusu Chenge na vijisenti vyake? Mahalu na kesi yake vipi?
 
Halisi... mimi nadhani itabidi nitoboe tu ukweli naona wenzetu huko mnawaumia umia meno, hawa jamaa wanachezea Watanzania kama wanasesere! Hivi watu hawajajiuliza Waziri anasema alikuwa anatoka Dubai akapitia Uswisi halafu kwenye tenda tunakutana na kampuni ya Dubai na nyingine inayolalamikiwa inatoka Uswisi?

Nitaamua kusema kama huyu bwana hajiuzulu maana hata kujaribu kufumba macho kumpa nafasi inakera. Just wait...

Alisema alitokea Hong Kong akapitia Dubai.... Sina hakika kama alipoaga alirudi tena kuaga kwenda Uswisi ama la, ama aliaga anaenda Uswisi ndio akaenda huko alikoenda kabla ya kurudi nyumbani na kwenda Uswisi. kama unavyoona utata wa G&D huko Zimbabwe, hali si tofauti hapa home ni vita NZITO NA YA KUTISHA
 
Nilijua mzee wa dataz AKA AKA atafika huko nilijua tu.....jamaa dizaini kapararaizi akili huwa akishindwa hoja utasikia ..nakujua wewe si nani sijui vile sijui yale.....kakaniboa kazee hako.....

Shem kata ishu asikutishe huyo......hatuangalii ushikaji hapa....kijamaa kinaboaaa praak

Hahahah kuna kazi kweli wabongo....unajua inapendeza kama mtu anajibu hoja, sasa wengine si great thinkers!!!....ukimbana anakimbilia wewe mimi nakujua unakaa New Jersey sijui nini.......na dalili za mheshimiwa huwa hajibu swali.....anajiuliza na kujijibu....hebu angalia nilivyomjibu na alivyo respond uwiiiiiiiiiiiiii ningekuwa na uwezo nafanya kama Mh Albert Mnali (bakora)!!!
 
Hahahah kuna kazi kweli wabongo....unajua inapendeza kama mtu anajibu hoja, sasa wengine si great thinkers!!!....ukimbana anakimbilia wewe mimi nakujua unakaa New Jersey sijui nini.......na dalili za mheshimiwa huwa hajibu swali.....anajiuliza na kujijibu....hebu angalia nilivyomjibu na alivyo respond uwiiiiiiiiiiiiii ningekuwa na uwezo nafanya kama Mh Albert Mnali (bakora)!!!
afu sasa wakubwa wa JF nao wamefyata mkia......walijaribu kumpa kubwa...akaja na ..oooh tumetoka mbali.....wenyewe wakanywea.....

ndio maana nikionaga watu wanazitwanga keyboard zao kwa kukomaa na ufisadi naishia kucheka na kukamata bilauri ya beer.....

.....ila alitoaga pweinti moja kuwa viongozi wetu ni reflection yetu.....
 
Masanilo

Hivi humjui FMES kuwa ni kada mzuri wa chama cha mafisadi? Hata km issue ipo kwa maslahi ya wananchi but yeye huwa anatetea tu ili mradi aonekane ni mtetezi wa chama chao.

- Mimi ni mwanachama hai wa CCM, na hapa JF na kwingine kote hua ninatumia akili yangu kufikiri huwa siamuliwi na wengine halafu mimi kufuata bendera, ushahidi wa google sijawahi kusikia unamfunga mtu au unamuondoa waziri kazini, kuendelea kwa Masha na uwaziri wake usinilaumu mimi wala vijana wa clouds, limeshindwa bunge letu la taifa,

- jana nilikuambia mapema sana kwamba Clouds hawawezi kumbana waziri, sasa yametokea hutaki kukubali unataka kuibadili topic iwe FMES, si unaona sasa uantaka ni lazima nifikiri kama unavyotaka wewe, pole sana mkuu na wewe na wenzako maana kwa mawazo kama haya yenu hawa viongozi wataendelea kutuchezea tu, Kwanza I was shocked hata kusikia Masha anaenda Clouds kwa sababu kwa kawaida Joe hua hapendi mambo ya siasa kabisaa, nikajua kuna mtu amemuwekea kisu usoni, lakini sikuwa na tatizo kujua matokeo yatakuwa nini.

Sasa kubali ukweli tusonge mbele na mengine, mimi FMES siwezi kukusaidia anything, maana ishusiki na ufisadi na nimetoa ruhusa mara nyingi sana hapa kwamba anyejua ufisadi wangu auweke hapa, lakini huwa ji blah! blah! tu kama zako, mkuu mimi ninafikiri on my own baada ya kuangalia facts sio kutafuta cheap fame humu JF, hayo huwa siyo yangu!

Respect!
 
Quote: Masanilo

Nigeria ministers on bribe charge

Identity cards were finally introduced earlier this year
Three former ministers and two officials have been charged with corruption in connection with a $214m contract to produce identity cards.

The BBC's Mannir Dan-Ali in the capital, Abuja, says this case is being seen as a test of the government's pledge to stamp out corruption.

Nigeria is regularly named as one of the world most corrupt countries.

In a packed courtroom, the men pleaded not guilty to charges that they sought bribes from the French firm, Sagem.

Former Internal Affairs Ministers Sunday Afolabi and Mahammed Shatta and former Labour Minister Hussain Akwanga denied 16 charges that they had sought bribes worth some $2m, along with two senior officials.

Mr Akwanga was sacked earlier this month.

Reuters news agency reports that the local representative of Sagem failed to appear in court.

The Sagem charges are the highest-profile case yet brought by the Independent Corrupt Practices Commission (ICPC), set up by President Olusegun Obasanjo three years ago.

It has yet to secure the conviction of a senior official.

Hahahah kuna kazi kweli wabongo....unajua inapendeza kama mtu anajibu hoja, sasa wengine si great thinkers!!!....ukimbana anakimbilia wewe mimi nakujua unakaa New Jersey sijui nini.......na dalili za mheshimiwa huwa hajibu swali.....anajiuliza na kujijibu....hebu angalia nilivyomjibu na alivyo respond uwiiiiiiiiiiiiii ningekuwa na uwezo nafanya kama Mh Albert Mnali (bakora)!!!

- Yaaani waziri wa jamhuri yetu unasema afukuzwe kazi kwa sababu ya huo usahidi wako hapa juu kutoka google, na ni hoja nzito sana unashangaa kwamba kwa nini sielewi!

Kweli Mungu Aibariki Tanzania, maana labda watoto wetu ndio watakuja kulikomboa hili taifa!
 

- jana nilikuambia mapema sana kwamba Clouds hawawezi kumbana waziri, sasa yametokea hutaki kukubali unataka kuibadili topic iwe FMES, si unaona sasa uantaka ni lazima nifikiri kama unavyotaka wewe, pole sana mkuu na wewe na wenzako maana kwa mawazo kama haya yenu hawa viongozi wataendelea kutuchezea tu, Kwanza I was shocked hata kusikia Masha anaenda Clouds kwa sababu kwa kawaida Joe hua hapendi mambo ya siasa kabisaa, nikajua kuna mtu amemuwekea kisu usoni, lakini sikuwa na tatizo kujua matokeo yatakuwa nini.

Respect!

Kaka ur right. Hata mimi sikutegemea tofauti na hilo maana kama unavyojua "wote ni watoto wa mjini na zaidi wa matawi ya juu".

Hando anaweza kuwa passionate na siasa lakini kamwe hawezi kuwa mwanasiasa makini....labda hapo mbeleni kama akitaka

By the way, kaka umelipia kadi yako ya CCM hivi karibuni? Maana kuna kazoezi kanaendelea..

Omarilyas
 
By the way, kaka umelipia kadi yako ya CCM hivi karibuni? Maana kuna kazoezi kanaendelea..

Omarilyas

- Mkuu wangu huwa ninalipia mwaka mzima kwa hiyo usiwe na wasi wasi, na sasa ninajitayarisha kwenda kwenye kusaidia kampeni za ubunge, maana taifa ni langu mkuu ila thanxs kwa concern na kadi yangu.
 
Back
Top Bottom