William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
afu sasa wakubwa wa JF nao wamefyata mkia......walijaribu kumpa kubwa...akaja na ..oooh tumetoka mbali.....wenyewe wakanywea.....
ndio maana nikionaga watu wanazitwanga keyboard zao kwa kukomaa na ufisadi naishia kucheka na kukamata bilauri ya beer.....
- Unajua it takes a lot mpaka mimi kumdharau bina-adam mwingine, na nikishafikia huwa unakuwa kama haupo, naona kila mahali unajaribu kutafuta attention yangu lakini nilishakudharau mkuu, wewe hapa wananchi wanatafuta solution ya matatizo ya taifa lao, tizama unachochangia kwa taifa, yaani kama vile uko kijiweni!
Mods vipi jamani, si zamani mlikuwa na tabia ya kufuta nonesense kama hizi bila ya kusema kitu vipi mnaachia hawa walevi huku JF? I mean wote hapa tutaishia kuonekana walevi kama huyu kichaa, vipi?