Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,494
Ushirombo, Heshima mbele,
Kwa hiyo unataka kumfananisha Masha na Obama? Hivi Masha alishawahi hata kushiriki katika kazi na uongozi wa Kijamii zaidi ya kuwa na law firm yenye Ukungu wa EPA? Ninadiriki kusema Masha hana uzoefu wa kuongoza umma,
Naomba kutokukubaliana
Masha hawezi kuwa sawa na Obama, suala hapa kule kulinganisha kuboronga kwake kwa kigezo cha umri. Nadhani ni vizuri kuweka wazi Masha (41) amelewa madaraka na hajui afanyalo kuliko kutizama kwenye umri, kuna walio wadogo zaidi zake yake lakini wanafanya vizuri.