Mnyaluhala.
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,430
- 1,787
Ole wenu mje mtuambie mnawasha mitambonya diesel mturudishe kwakina dowans
😃😃😃😃😃Waziri wa nishati January Makamba amesema kama wizara wamejipanga na katika siku mbili zijazo atatoa Suluhisho la kudumu la matatizo ya umeme nchini
Makamba amesema wamejipanga vya kutosha na suluhisho walilonalo ni la kudumu na kwamba baada ya kufanya study ya kutosha wanaamini tatizo la umeme halitajirudia tena na litabaki kuwa historia.
Makamba amewaomba radhi wateja wa Tanesco kwa usumbufu walioupata.
Source: ITV habari
Wanajua hatuna la kuwafanya. Hata hii migao inayoendelea ni ya kutengeneza tu.Ole wenu mje mtuambie mnawasha mitambonya diesel mturudishe kwakina dowans
Siasa zimefika mahala pake. Suluhisho lake tuangalie mara mbili mbili ni kwa interest za nani. Kuna mambo mtu akifanya, ni ngumu sana kuendelea kumpa imani. Huyu mzee naona kama anatuvuruga kabisa bila sababu za msingiWaziri wa nishati January Makamba amesema kama wizara wamejipanga na katika siku mbili zijazo atatoa Suluhisho la kudumu la matatizo ya umeme nchini
Makamba amesema wamejipanga vya kutosha na suluhisho walilonalo ni la kudumu na kwamba baada ya kufanya study ya kutosha wanaamini tatizo la umeme halitajirudia tena na litabaki kuwa historia.
Makamba amewaomba radhi wateja wa Tanesco kwa usumbufu walioupata.
Source: ITV habari
Amesema solution ya kudumu, hili la kuwasha mitambo sidhani kama ni solution ya kudumu, likifanyika utakuwa ni wizi wa kudumu.Ole wenu mje mtuambie mnawasha mitambonya diesel mturudishe kwakina dowans
Hahahaha utaacha Madelu agutukeNa tunguli.
Dar mgao umeisha.maji yanapatikana kisa sehemu sio?Amepanic huyu.
Inawezekana vipi mgao tulioaminishwa upo kwasababu ya ukame upatiwe ufumbuzi wa kudumu ndani ya muda mfupi ambao hata mvua bado hazijaanza kunyesha na vyanzo vingine vya umeme kama upepo, solar, na gas bado havijaanza kufanya kazi?
Au ndio doria ya leo imeanza kufanya kazi kama ilivyokuwa kwa waziri wa maji kwa kufungua mabomba ya dawasco?!
Hii migao kama sio ya kutengenezwa sijui ni kitu gani kingine.
Wapi zimeanzaMvua zimeanza kunyesha. Matapeli sana hawa..
Ujinga mwingi upo kwenye kelele, the guy should remain silence!!Makamba amesema wamejipanga vya kutosha na suluhisho walilonalo ni la kudumu na kwamba baada ya kufanya study ya kutosha wanaamini tatizo la umeme halitajirudia tena na litabaki kuwa historia
Ngoja tuone hayo makaratee yake aliyojipanga nayo.Amepanic huyu.
Inawezekana vipi mgao tulioaminishwa upo kwasababu ya ukame upatiwe ufumbuzi wa kudumu ndani ya muda mfupi ambao hata mvua bado hazijaanza kunyesha na vyanzo vingine vya umeme kama upepo, solar, na gas bado havijaanza kufanya kazi?
Au ndio doria ya leo imeanza kufanya kazi kama ilivyokuwa kwa waziri wa maji kwa kufungua mabomba ya dawasco?!
Hii migao kama sio ya kutengenezwa sijui ni kitu gani kingine.
Out kabisaBaada ya siku mbili kwisha atakuja na ahadi ya kuutatua huu mgawo wa umeme ndani ya masaa mawili.
Haka kajamaa ni kabingwa ka mazingaombwe ya kisiasa, kanaweza kugeuza nyeupe kuwa nyeusi, kama kaliweza kumuingiza jiwe ikulu kwa zile tiktaka za goli la mkono kanaweza kukausha mabwawa ya umeme kwa maneno na kuyajaza mabwawa kwa maneno pia.
Huyu ni tumbili tu namchukia sana huyu mende. Nchi hii ya kipimbi sana mhaini aliemfitini Rais wa nchi anapewa uwaziri na sifa za kuwania ubunge!!? Akalamba udongo sasa hivi anatukana. Kawaletea kunguni sasa anakuja na spray dawa ya kunguniWaziri wa nishati January Makamba amesema kama wizara wamejipanga na katika siku mbili zijazo atatoa Suluhisho la kudumu la matatizo ya umeme nchini
Makamba amesema wamejipanga vya kutosha na suluhisho walilonalo ni la kudumu na kwamba baada ya kufanya study ya kutosha wanaamini tatizo la umeme halitajirudia tena na litabaki kuwa historia.
Makamba amewaomba radhi wateja wa Tanesco kwa usumbufu walioupata.
Source: ITV habari
Nchi ngumu hii acheni. Dah, doria ya muda mfupi, suluhisho la kudumu.Amepanic huyu.
Inawezekana vipi mgao tulioaminishwa upo kwasababu ya ukame upatiwe ufumbuzi wa kudumu ndani ya muda mfupi ambao hata mvua bado hazijaanza kunyesha na vyanzo vingine vya umeme kama upepo, solar, na gas bado havijaanza kufanya kazi?
Au ndio doria ya leo imeanza kufanya kazi kama ilivyokuwa kwa waziri wa maji kwa kufungua mabomba ya dawasco?!
Hii migao kama sio ya kutengenezwa sijui ni kitu gani kingine.
Hana adui ispokuwa ni duwanzi mpenda sifaMakamba achunge mdomo wake akae akijua ana maadui wengi.
Lol, kumbe bado ana washabiki?!Ah, makamba asiongee kwa kupitiliza sasa. Asinipoteze shabiki yake mimi
Waziri wa nishati January Makamba amesema kama wizara wamejipanga na katika siku mbili zijazo atatoa Suluhisho la kudumu la matatizo ya umeme nchini
Makamba amesema wamejipanga vya kutosha na suluhisho walilonalo ni la kudumu na kwamba baada ya kufanya study ya kutosha wanaamini tatizo la umeme halitajirudia tena na litabaki kuwa historia.
Makamba amewaomba radhi wateja wa Tanesco kwa usumbufu walioupata.
Source: ITV habari