Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 49,734
- 89,327
Dah! Hahahahaaa. Watu wachokozi balaa. Kama elimu siyo bangi huoneshwa hadharani, kwa nini mtu anune akiambiwa atuoneshe? Aaaaaa, popo atanyea mbingu si muda mrefu!


There's nothing more amusing on earth than social media. ...Hiding behind a keyboard, any social media patron, including some of us who are secondary school dropouts, can challenge even professors to re-defend their doctoral theses before us!!! Burudani tupu; that's the beauty of social media!!!Kumbe powa sanaMagufuli amekuwa anafanya phD pale Mlimani kwa muda mrefu....it must have been from around 2006/2007 academic year.Kuna wakati fulani nilikuwa nafuatilia transcripts zangu pale Mlimani na kukutana nae akifanya utaratibu wa ada pale chuoni....nilishangaa maana katika hali ya kawaida unategemea angefanyiwa hayo malipo na mtu kwa niaba yake.
Rafiki yangu mmoja alikuwa ananiambia akiwa waziri wa miundo mbinu alikuwa anafika sana pale chuo na nadhani alikuwa na marafiki wengi pale chemistry department maana alikuwa anakaa pale nje ya department na kuongea na wazee wa pale chemistry kwa muda mrefu sana.
HahahaWazee Magufuli ni kchwa na hilo ukilipinga hata samaki, ng'ombe na barabara zitapiga kelele na kusema acheni kuachama na kupayuka maneno ya hovyo hovyo.John is doing to his best.
ama kweli mambo hubadilikaHongera sana Mwl. John Joseph, umeonyesha njia na wanafunzi wako tutafuata nyayo zako!
Bado ni mh wako?safi sana presidaa wetu ujaye
Bado namuheseshimu licha ya kwamba sikubaliani na baadhi ya mambo yake. Utesaji, uuaji, utekaji, lugha zisizokuwa na staha, ubaguzi etcBado ni mh wako?
Kumbe....naona sasa anaendelea kusukuma gurudumu la jagwanimagufuli ni mmoja wa mifano ya watanzania wachache waliotokea chini na kufika viwango vya juu kabisa vya elimu,namkumbuka mwingine ni dk mshindo msolla wa sua,aliaza kama mwalimu wa shule ya msingi akajiendeleza hadi hapo alipofika
Ben Saanane alipotezwa na Magufuli kwa kuhoji PhD yake. Alikaribia kuweka hadharani udanganyifu alioufanya kuipata PhD ile. Magufuli alimuwahi!Usemacho ni sawa sisi wana taaluma( elites) tuna share our knowledge na huwa hatufichi namna tulivyopata elimu zetu kwani ndio mavuno yetu ktk kusoma kwetu.
Elimu sio bangi kwamba itafanyika kimafichoni
DuhNamkubali mno Dr Magufuli....go go go for Presidency
Mkuu uliota vizuriNamkubali mno Dr Magufuli....go go go for Presidency
Umeongea ukwel kabisa mkuuUkisoma huu uzi ndo unaona unafki wa sisi Watanzania walimsifia kwa ile pHD ndo wakawa maadui miaka 6 baaadae.
Kumbe haya mambo yalianza kitamboItakuwa ajabu!If so ,now UDSM itakuwa politised now.Niambieni Dr Hosea wa Rushwa ana Phd toka wapi?
Mmh yaani unazima computer kwa ajili ya reply ya MTU?Duu we jamaa wa wapi wewe? kwa taarifa yako ni kwawaida sana kuwa na Phd kwa viongozi, na kwa mtu kama magufuli sio ajabu...hosea alipata Phd kabla ajaingia TAKUKURU
acha pupa kijana unatia aibu
lahhhh..mwili umenisisimka nilivyosoma comment yako, sijawahi kuona comment dhaifu kama hii..ngoja nizime na computer nilale kabisa
lahhhhhh