Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,499
- 113,610
Nilishawahi kuandika hapa huyu Magufuli ni bomu tu kutokana na maamuzi yake mbali mbali hasa katika awamu ya tatu na hii pia. Afadhali nawe umeona hivyo. Inaelekea hakuna aliyeiba password yako. Napenda kusoma michango ya huyu Mwiba mpya na siyo yule wa zamani aliyekuwa anapigia debe uozo wa Chama Cha Mafisadi/Majambazi. Hongera sana kwa kuamua kubadilika.