Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Rais Magufuli leo atembelea Mradi wa Ujenzi wa Barabara za Juu za Ubungo unajulikana kama ‘Ubungo Interchange’.
Aidha meagiza kuwa jengo la makao makuu ya Shirika la Uzalishaji na Ugavi wa Umeme nchini TANESCO lililopo eneo hilo pamoja na jengo la wizara ya maji ambalo liko mkabala na jengo la TANESCO, yawekwe alama ya ‘X’ ili yabomolewe kupisha mradi huo.
Hapa chini ni ramani ya Barabara ya juu ambayo itajengwa Ubungo Dar es Salaam
Barabara ya Morogoro ya Chini kwa magari yanayotokea Kimara Kwenda Mjini
Barabara ya juu kwa watu wanaotokea barabara ya Sam Nujoma kuelekea barabara ya Nelson Mandela uelekeo wa Buguruni
Mijadala mingine kuhusu hili jengo soma;
Magufuli! Jengo la TANESCO Ubungo ni kisiki na udhaifu mwingine kwake?
Waziri John Magufuli hili la kuvunja jengo la TANESCO Ubungo tumia busara
Jengo la Makao Makuu ya TANESCO Ubungo kubomolewa wakati wowote kupisha ujenzi wa 'Interchange'
JENGO LA TANESCO NA FLYOVERS, which one's more important?
Magufuli, nakuombea upate Urais na uanze na TANESCO
Waziri Mkuu Pinda asitisha utekelezaji wa agizo la Magufuli la Bomoa bomoa
Kikwete amwambia Magufuli aache Ubabe kwenye bomoa bomoa; Magufuli ataaminika tena?