Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,417
- 10,018
Hilo Wala sio suala languWewe endelea tu kufukua, tuone kama uteuzi wa J.M. utatenguliwa!
Hilo Wala sio suala languWewe endelea tu kufukua, tuone kama uteuzi wa J.M. utatenguliwa!
CCM imeozaWatu wameamua kufukua makaburi.
The series .................Episode 1 let's wait
CCM imeoza
Wanarudi wale wale hakuna mpyaKabisa ni UOZO MTUPU! Na wenyewe wanalijua hilo hivyo wanategemea mtutu wa bunduki ili kung’ang’ania madarakani.
Halafu makaburi yenyewe yalivyo na uvundo...ngoja tuendelee kuziba pua. Sijui ni wangapi wataopolewa kwenye hilo dampo (CCM)! Nawakumbuka wale masikini wanaotafuta hata kashati kwenye dampo wanavyofurahi wanapokuta walichokuwa wakikisaka humo. Nakuambia hilo shati litavaliwa hivyo hivyo huku mwenyewe akikata mitaa...shauri yako kama harufu huipendi, ziba pua!Watu wameamua kufukua makaburi.
AmeshamsafishaDuh,kwa mara ya kwanza nimempenda mange kimambi,asanteee
Ndio inasemekana alimlipaAmeshamsafisha
He sacked the thug.What will magufuli do???
2020 ilipita tena tuliambiwa atake asitakeHii nayo ilifunikwa!Nadhani ilifika mahali ufisadi ulikuwa mfumo wa chama.Haiwezekani ufisadi so grand ukafumbiwa macho!CCM ni lazima ifumuliwe,halafu baada ya kufumuliwa na chama kikakaa sawa tayari kwa uchaguzi 2020,Rais awaombe Watanzania radhi kwa uovu waliofanyiwa na viongozi wao waliopita for the past almost 50 years.In that way chama kitarudisha hadhi yake,na wananchi wataona kwamba kweli chama sasa kimedhamiria kuwatumikia.