Still waiting?What will magufuli do???
Until when?Still waiting?
Until when?
Nothing will ever be done#Utumbuaji vidagaaUntil when something is done
Soma ubao sasa mkuu.What will magufuli do???
Really? Injinia soma hiyoNothing will ever be done#Utumbuaji vidagaa
Sasa January kosa lake nini injinia?Really? Injinia soma hiyo
Hii nayo ilifunikwa!Nadhani ilifika mahali ufisadi ulikuwa mfumo wa chama.Haiwezekani ufisadi so grand ukafumbiwa macho!CCM ni lazima ifumuliwe,halafu baada ya kufumuliwa na chama kikakaa sawa tayari kwa uchaguzi 2020,Rais awaombe Watanzania radhi kwa uovu waliofanyiwa na viongozi wao waliopita for the past almost 50 years.In that way chama kitarudisha hadhi yake,na wananchi wataona kwamba kweli chama sasa kimedhamiria kuwatumikia.Katika hali isiyo ya kawaida, Mwanadada anayejulikana katika Mitandao ya Kijamii, Mange Kimambi, amewachana January Makamba na Mwamvita katika Instagram page yake kwa kuweka sauti zilizorekodiwa wakipanga deal na mfanyabiashara wa kiitaliano ambaye amelizwa dola milion 100 ili apewe deal la kujenga port Bagamaoyo.
Jaribu kupitia..
(Mazungumzo ya Sauti yameambatanishwa)
![]()
Unamuamini Musiba?Sikuwahi kuipenda hii familia ya Makambaz kutokana na kashfa zao za kila Mara!
Ndo maana Mwamvita anatamba sana kuwa ana pesa za kutosha! Huyu kakaake angekuwa Rais angepanya Ikulu kama njia ya kujilimbikizia mali.
Asante sana JPM
Wewe endelea tu kufukua, tuone kama uteuzi wa J.M. utatenguliwa!Nafukua tu
Karibu JF.Hatari hii ilinipita nilikua sijaingia JF wala Instagram
Mambo ya dunia.hata marekani Bushi na mwanae waliongoza nchi kwa wakati tofauti.Nenda Rudi , Rudi nenda ... Royal 👑 families zilezile ina maana hakuna mtu mwingine zaidi ya MAKAMBA,?
Yaani ni hatari kwa kweli,kumbe Makamba ni mla RUshwa,ANGEKUWA RAIS JE?Makamba angeongoza hii nchi kwa remote Mwamvita