HAHAHA,TEHE HEHEEEEE, ETI EDO-ELIMU,ELIMU,ELIMU,-- KAMA NAMUONA VILE ANAVYOCHUNGA NG'OMBE MONDULI NA HANDENI , NA ELIMU, ELIMU YAKE! ALIWAFUNDISHA MAJUNGU NA KIJIWE CHENU CHA CRUZ INN!mshawekewa mpaka ushahidi hapa still mijitu bado ina-complain ni uongo! kama ni uongo basi tuwekeeni ukweli wenye ushahidi hapa! haijalishi kuwa sauti zinazosikika hapa ni za kweli au ni za uongo, ili mradi mtoa post kashawasilisha ushahidi wake hapa na tumeuelewa! anaebisha na kusema ni za uongo basi awe tayari kutuwekea za ukweli hapa! kma huna evidence, you don't have rights to speak! ndo maana Edo alisema vipaumbele vyake ni Elimu, elimu, elimu akimaanisha wa-Tz wengi bado ni mambumbumbu!