johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,959
- 141,956
Waziri wa Tamisemi Mhe. Jaffo amesema atawashawishi viongozi wenzake ili mji wa kiserikali wa Mtumba uliopo jiji la Dodoma uweze kuitwa Dkt. Magufuli City.
Jaffo amesema anajua Rais Magufuli atakataa lakini piga uwa garagaza mji wa Mtumba lazima uitwe Dr Magufuli City.
Hatuwezi kumpa vibarabara vya uchochoroni mh Rais Magufuli wakati yeye ndiye ameujenga mji huu kufikia hapa tulipo, amemalizia Jaffo.
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Jaffo amesema anajua Rais Magufuli atakataa lakini piga uwa garagaza mji wa Mtumba lazima uitwe Dr Magufuli City.
Hatuwezi kumpa vibarabara vya uchochoroni mh Rais Magufuli wakati yeye ndiye ameujenga mji huu kufikia hapa tulipo, amemalizia Jaffo.
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama!