Wanayo kama Mabeyo watu wa kwanza kwanza kuwa na L300 hapa Tanzania na hata duniani kwa ujumlaMwamunyange
Mabeyo
Hawa vipi? Wao hawahusiki au??
Huwa wanapewa kwa mujibu wa sheria tangu enzi za Mzee Mkapa na hupewa baada ya miaka kadhaa (kutaja miaka husika ni kosa)Mwamunyange
Mabeyo
Hawa vipi? Wao hawahusiki au??
Amina. Aliyenacho......View attachment 2635275
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Innocent Bashungwa @innocentbash amewakabidhi magari mapya Wakuu wa Majeshi Wastaafu kwa maelekezo ya Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Wakuu wa Majeshi Wastaafu waliokabidhiwa magari ni CDF Mstaafu George Waitara na Robert Mboma na makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi za Wizara ya Ulinzi Mtumba Jijini Dodoma
Akikabidhi Magari hayo, Waziri Bashungwa amesema kuwapatia Wastaafu hao magari ni sehemu ya maelekezo ya Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Samia Suluhu Hassan kwamba wapatiwe magari mapya ambayo yanatengenezeka na spea zake zinapatikana kwa urahisi.
“Wakuu hawa wa Majeshi Wastaafu walifanya kazi kubwa na iliyotukuka kipindi cha utumishi wao kwa Nchi yetu, Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. Samia Suluhu Hassan imewapatia magari na kuwatakia kheri na maisha marefu Majenerali Wastaafu hawa”
AYO TV
Kutaja miaka ni kosa, hapa una refer to kifungu gani? Kindly share hicho kifungu, au kushare hicho kifungu cha sheria nayo ni kosa?Huwa wanapewa kwa mujibu wa sheria tangu enzi za Mzee Mkapa na hupewa baada ya miaka kadhaa ( kutaja miaka husika ni kosa)
hao wengine tangu wapewe mapya hawajamaliza ule muda wa depreciation kwa mujibu wa sheria
Kamanda Sirro wamempa Prado
Oooh hapo sawaa.wanayo kama Mabeyo watu wa kwanza kwanza kuwa na L300 hapa tanzania na hata duniani kwa ujumla
Oooh hapo sawa nimekupataaHuwa wanapewa kwa mujibu wa sheria tangu enzi za Mzee Mkapa na hupewa baada ya miaka kadhaa ( kutaja miaka husika ni kosa)
hao wengine tangu wapewe mapya hawajamaliza ule muda wa depreciation kwa mujibu wa sheria