Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
891
4,165
Wazir wa Kilimo ameagiza Mshindo Msolwa na wafanyakazi wengine wanosimamia ghala la kuhifadhi Mbolea wakamatwwe baada ya kubainika wamehifadhi mchanga unaofhaniwa unatumika aidha kama bosheni au kuchakachua Mbolea inayopelekwa Kwa wakulima.

Mifuko zaidi ya 700 imekutwa ndani ya ghala Hilo......

My Take; TUNA WATANZANIA WENYE FEDHA NA MADARAKA LAKINI WANA ROHO ZA KIKATILI SANA. KAMA UNAWEZA WAWEKEA WAKULIMA MCHANGA BADALA YA MBOLEA UNASHUNDWA KUFANYA UKATILI MKUBWA ZAIDI SIRINI?

MHE. RAIS UNA SAFARI NDEFU NA HAWA VIONGOZI WAKO WA CCM.....TAFUTA NAMNA YA KUWAJENGEA UZALENDO


===========

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ameagiza kukamatwa na kuhojiwa Meneja Masoko wa Kampuni ya mbolea ya Minjingu Dkt. Mshindo Msola, msimamizi wa ghala la mbolea ya Minjingu mkoa wa Njombe na Meneja wa Kanda wa Nyanda za Juu Kusini wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Michael Sanga kwa tuhuma za kukutwa na mifuko 776 ya mchanga katika ghala la kampuni ya mbolea ya Minjingu ambayo inadhaniwa huenda inatumika kuchakachua mbolea inayouzwa na kampuni hiyo.

Bashe amesema tukio hilo ni hujuma ambayo haivumiliki, ambapo atahakikisha waliohusika wanachukuliwa hatua.

Ametoa agizo hilo baada ya wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa wa Njombe kwa kushirikiana na wale wa kamati ya siasa ya mkoa huo wakiongozwa na mkuu wa mkoa huo Antony Mtaka kufika katika ghala hilo na kukuta shehena ya mifuko ya mchanga katikati ya mifuko ya mbolea ya Minjingu.
 
Wazir wa Kilimo ameagiza Mshindo Msolwa na wafanyakazi wengine wanosimamia ghala la kuhifadhi Mbolea wakamatwwe baada ya kubainika wamehifadhi mchanga unaofhaniwa unatumika aidha kama bosheni au kuchakachua Mbolea inayopelekwa Kwa wakulima.

Mifuko zaidi ya 700 imekutwa ndani ya ghala Hilo......

My Take; TUNA WATANZANIA WENYE FEDHA NA MADARAKA LAKINI WANA ROHO ZA KIKATILI SANA. KAMA UNAWEZA WAWEKEA WAKULIMA MCHANGA BADALA YA MBOLEA UNASHUNDWA KUFANYA UKATILI MKUBWA ZAIDI SIRINI?

MHE. RAIS UNA SAFARI NDEFU NA HAWA VIONGOZI WAKO WA CCM.....TAFUTA NAMNA YA KUWAJENGEA UZALENDO
Kuna mtu anafanyiwa hujuma hapo inahitaji utulivu wa akili tu hapo
 
Wazir wa Kilimo ameagiza Mshindo Msolwa na wafanyakazi wengine wanosimamia ghala la kuhifadhi Mbolea wakamatwwe baada ya kubainika wamehifadhi mchanga unaofhaniwa unatumika aidha kama bosheni au kuchakachua Mbolea inayopelekwa Kwa wakulima.

Mifuko zaidi ya 700 imekutwa ndani ya ghala Hilo......

My Take; TUNA WATANZANIA WENYE FEDHA NA MADARAKA LAKINI WANA ROHO ZA KIKATILI SANA. KAMA UNAWEZA WAWEKEA WAKULIMA MCHANGA BADALA YA MBOLEA UNASHUNDWA KUFANYA UKATILI MKUBWA ZAIDI SIRINI?

MHE. RAIS UNA SAFARI NDEFU NA HAWA VIONGOZI WAKO WA CCM.....TAFUTA NAMNA YA KUWAJENGEA UZALENDO
wakulima tunaotafuta hela ya mbolea kwa tabu tunahujumiwa!!Tutaandamana .
 
Wazir wa Kilimo ameagiza Mshindo Msolwa na wafanyakazi wengine wanosimamia ghala la kuhifadhi Mbolea wakamatwwe baada ya kubainika wamehifadhi mchanga unaofhaniwa unatumika aidha kama bosheni au kuchakachua Mbolea inayopelekwa Kwa wakulima.

Mifuko zaidi ya 700 imekutwa ndani ya ghala Hilo......

My Take; TUNA WATANZANIA WENYE FEDHA NA MADARAKA LAKINI WANA ROHO ZA KIKATILI SANA. KAMA UNAWEZA WAWEKEA WAKULIMA MCHANGA BADALA YA MBOLEA UNASHUNDWA KUFANYA UKATILI MKUBWA ZAIDI SIRINI?

MHE. RAIS UNA SAFARI NDEFU NA HAWA VIONGOZI WAKO WA CCM.....TAFUTA NAMNA YA KUWAJENGEA UZALENDO
Harafu mkiwakamata watu wa hivi kwenye utumishi wa Umma mnawachekea,Hawa nimkufukuza kazi Moja kwa Moja
 
Wazir wa Kilimo ameagiza Mshindo Msolwa na wafanyakazi wengine wanosimamia ghala la kuhifadhi Mbolea wakamatwwe baada ya kubainika wamehifadhi mchanga unaofhaniwa unatumika aidha kama bosheni au kuchakachua Mbolea inayopelekwa Kwa wakulima.

Mifuko zaidi ya 700 imekutwa ndani ya ghala Hilo......

My Take; TUNA WATANZANIA WENYE FEDHA NA MADARAKA LAKINI WANA ROHO ZA KIKATILI SANA. KAMA UNAWEZA WAWEKEA WAKULIMA MCHANGA BADALA YA MBOLEA UNASHUNDWA KUFANYA UKATILI MKUBWA ZAIDI SIRINI?

MHE. RAIS UNA SAFARI NDEFU NA HAWA VIONGOZI WAKO WA CCM.....TAFUTA NAMNA YA KUWAJENGEA UZALENDO
Yeye mwenyewe ni walewale. Aliwapa viashiria mapema alivyoingia madarakani. Hataki ukali, kamtupa sabaya lupango na kuwarejesha waliyotemwa na jpm, kawaambia vigogo wale kwa urefu wa kamba zao za malisho. Kampiga jpm vijembe.
Unataka maelezo gani zaidi.😎😆
 
Wajinga dizaini hii wanapaswa kunyongwa napema sana na hela ya kununua kamba wachangishwe wana familia wa huyu mpuuzi.
Ndo wale wale walimkaribisha waziri kufungua mradi wa maji kumbe wamejaza maji kwenye tanki kubwa limefichwa mlimani, baada ya waziri kuondoka raia wamechota maji jioni tu maji yamekata
 
Wazir wa Kilimo ameagiza Mshindo Msolwa na wafanyakazi wengine wanosimamia ghala la kuhifadhi Mbolea wakamatwwe baada ya kubainika wamehifadhi mchanga unaofhaniwa unatumika aidha kama bosheni au kuchakachua Mbolea inayopelekwa Kwa wakulima.

Mifuko zaidi ya 700 imekutwa ndani ya ghala Hilo......

My Take; TUNA WATANZANIA WENYE FEDHA NA MADARAKA LAKINI WANA ROHO ZA KIKATILI SANA. KAMA UNAWEZA WAWEKEA WAKULIMA MCHANGA BADALA YA MBOLEA UNASHUNDWA KUFANYA UKATILI MKUBWA ZAIDI SIRINI?

MHE. RAIS UNA SAFARI NDEFU NA HAWA VIONGOZI WAKO WA CCM.....TAFUTA NAMNA YA KUWAJENGEA UZALENDO
Nchi hii ni ya kipumbavu sana. Lakini nawapongeza wazalendo waliompelekea taarifa Mh Waziri kuhusu wizi huu unaofanywa na watu wachache wasiowatakia mema wakulilma wa nchi hii. Mungu anawaona.
 
Wazir wa Kilimo ameagiza Mshindo Msolwa na wafanyakazi wengine wanosimamia ghala la kuhifadhi Mbolea wakamatwwe baada ya kubainika wamehifadhi mchanga unaofhaniwa unatumika aidha kama bosheni au kuchakachua Mbolea inayopelekwa Kwa wakulima.

Mifuko zaidi ya 700 imekutwa ndani ya ghala Hilo......

My Take; TUNA WATANZANIA WENYE FEDHA NA MADARAKA LAKINI WANA ROHO ZA KIKATILI SANA. KAMA UNAWEZA WAWEKEA WAKULIMA MCHANGA BADALA YA MBOLEA UNASHUNDWA KUFANYA UKATILI MKUBWA ZAIDI SIRINI?

MHE. RAIS UNA SAFARI NDEFU NA HAWA VIONGOZI WAKO WA CCM.....TAFUTA NAMNA YA KUWAJENGEA UZALENDO


===========

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ameagiza kukamatwa na kuhojiwa Meneja Masoko wa Kampuni ya mbolea ya Minjingu Dkt. Mshindo Msola, msimamizi wa ghala la mbolea ya Minjingu mkoa wa Njombe na Meneja wa Kanda wa Nyanda za Juu Kusini wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Michael Sanga kwa tuhuma za kukutwa na mifuko 776 ya mchanga katika ghala la kampuni ya mbolea ya Minjingu ambayo inadhaniwa huenda inatumika kuchakachua mbolea inayouzwa na kampuni hiyo.

Bashe amesema tukio hilo ni hujuma ambayo haivumiliki, ambapo atahakikisha waliohusika wanachukuliwa hatua.

Ametoa agizo hilo baada ya wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa wa Njombe kwa kushirikiana na wale wa kamati ya siasa ya mkoa huo wakiongozwa na mkuu wa mkoa huo Antony Mtaka kufika katika ghala hilo na kukuta shehena ya mifuko ya mchanga katikati ya mifuko ya mbolea ya Minjingu.
Nchi hii siku hizi kila KILA MTU NI MWIZI.
 
Bila Rais kufuta ile kauli ya watu wale kwa urefu wa kamba zao, kila mtanzania atatafuta njia yake ya kulamba asali
Acha wale tusubiri malaika wa hiari, japo ukweli huyo bibi 2025 bye bye huwezi kuja kibahati halafu utake kubakia hio haipo haipo ndio ataijua CCM
 
Wazir wa Kilimo ameagiza Mshindo Msolwa na wafanyakazi wengine wanosimamia ghala la kuhifadhi Mbolea wakamatwwe baada ya kubainika wamehifadhi mchanga unaofhaniwa unatumika aidha kama bosheni au kuchakachua Mbolea inayopelekwa Kwa wakulima.

Mifuko zaidi ya 700 imekutwa ndani ya ghala Hilo......

My Take; TUNA WATANZANIA WENYE FEDHA NA MADARAKA LAKINI WANA ROHO ZA KIKATILI SANA. KAMA UNAWEZA WAWEKEA WAKULIMA MCHANGA BADALA YA MBOLEA UNASHUNDWA KUFANYA UKATILI MKUBWA ZAIDI SIRINI?

MHE. RAIS UNA SAFARI NDEFU NA HAWA VIONGOZI WAKO WA CCM.....TAFUTA NAMNA YA KUWAJENGEA UZALENDO


===========

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ameagiza kukamatwa na kuhojiwa Meneja Masoko wa Kampuni ya mbolea ya Minjingu Dkt. Mshindo Msola, msimamizi wa ghala la mbolea ya Minjingu mkoa wa Njombe na Meneja wa Kanda wa Nyanda za Juu Kusini wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Michael Sanga kwa tuhuma za kukutwa na mifuko 776 ya mchanga katika ghala la kampuni ya mbolea ya Minjingu ambayo inadhaniwa huenda inatumika kuchakachua mbolea inayouzwa na kampuni hiyo.

Bashe amesema tukio hilo ni hujuma ambayo haivumiliki, ambapo atahakikisha waliohusika wanachukuliwa hatua.

Ametoa agizo hilo baada ya wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa wa Njombe kwa kushirikiana na wale wa kamati ya siasa ya mkoa huo wakiongozwa na mkuu wa mkoa huo Antony Mtaka kufika katika ghala hilo na kukuta shehena ya mifuko ya mchanga katikati ya mifuko ya mbolea ya Minjingu.
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.

CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi zitafika tamati hivi punde kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.

It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when these unscrupulous rats will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave on a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits minority fisadis and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.

What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few looters whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that majority people hold against CCM and their crooked government except looters themselves who, horrifically, decided to gnaw the cassava boat by which they were sailing!
 
Cha ajabu kabisa, utaona hapo inaundwa tume kuchunguza.

Na majibu ya hiyo yume itakuwa ni;. Mifuko ya mchanga iliwekwa kwa ajili ya ku-stabilize temperature ya mbolea iliyo kwenye mifuko, kutokana na eneo la njombe kuwa na baridi kali, maana mbolea ingeweza kuganda na kupoteza virutubisho muhimu.

Case closed.
 
Back
Top Bottom