dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,402
- 15,980
Hi michuano inapeleka upendeleo kwa baadhi ya vilabu hususan hivi vikongwe Kama Raja Casablanca, AS Vita, Yanga Africa, kaizer chief na club afrcane ya nchini Tunisia
Nimeona baadhi ya video ikitembea mtandaoni kuonesha jins ufunguzi wake utakavyo fanyika na kupelekea roho yangu kuuma vibaya baada ya kuona club yangu pendwa ya raja Casablanca kuto kushirikishwa ktk michuano hii muhimu na Bora kbsa kuwahi kuwepo Afrika.
Nimeona waandishi wa radio efm na cloud fm wakihisifia na kuonesha mahaba Yao kwa timu ya Simba kushirikishwa Moja kwa Moja Hili limeleta chuki Sana kwa mashabiki wa raja Casablanca.
Moja alikwenda mbalu Zaid aksema kupanga Ni kuchagua kwamba ikiwa Simba SC club itashiriki kwa siku hyo moja tu kwa mechi mbili atavuna mpunga wa 2.3 billion kwa siku hyo tu na Kama atafika mbali Zaid atabeba pesa ndefu pia ikiwa atafika fainali ,, imagine mpunga wote huo ulio wekwa kwa Simba SC kwa mechi moja tu ,,Ina maana hata Simba akifurunda CAFCL Bado Ana sehemu ya kujivunia ya michuano ya kitajiri ya Africa football league AFL.
Hi michuano inapelekeaa chuki kubwa na hasira kwa ma giant wa kubwa wa soka barani Africa kuto kushirikishwa kwao.
Sioni maana ya michuano hii au vinginevyo wafute hi ya cafcl Kisha wote tushiriki ktk michuano hii Bora kbsa barani Afrika.
Nikiwa rais wa caf nitahakikisha michuano hii Naifutilia mbali na bingwa wake namvua ubingwa huu kwani Ni michuano ya kiubaguzi na husda imeandaliwa mahusuzi kuwa nanga vilabu vikongwe na
Ni upuuzi mkubwa bila raja Casablanca kushikishwa nimeumia mno Basi Sina Cha kufanya Zaid niwaombe baya lolote liwakute Simba haswa kufungwa magoli mengi Zaid na Kisha kutia aibu taifa zima na mm nitafurahi mno ingawa wamepata pesa ndefu kwa msimu mmoja tu
Kwako katibu mkuu wa Simba SC bwana GENTAMYCINE natambua umeshiriiki vyema kuinyima raja kuto kushirikishwa.
Nimeona baadhi ya video ikitembea mtandaoni kuonesha jins ufunguzi wake utakavyo fanyika na kupelekea roho yangu kuuma vibaya baada ya kuona club yangu pendwa ya raja Casablanca kuto kushirikishwa ktk michuano hii muhimu na Bora kbsa kuwahi kuwepo Afrika.
Nimeona waandishi wa radio efm na cloud fm wakihisifia na kuonesha mahaba Yao kwa timu ya Simba kushirikishwa Moja kwa Moja Hili limeleta chuki Sana kwa mashabiki wa raja Casablanca.
Moja alikwenda mbalu Zaid aksema kupanga Ni kuchagua kwamba ikiwa Simba SC club itashiriki kwa siku hyo moja tu kwa mechi mbili atavuna mpunga wa 2.3 billion kwa siku hyo tu na Kama atafika mbali Zaid atabeba pesa ndefu pia ikiwa atafika fainali ,, imagine mpunga wote huo ulio wekwa kwa Simba SC kwa mechi moja tu ,,Ina maana hata Simba akifurunda CAFCL Bado Ana sehemu ya kujivunia ya michuano ya kitajiri ya Africa football league AFL.
Hi michuano inapelekeaa chuki kubwa na hasira kwa ma giant wa kubwa wa soka barani Africa kuto kushirikishwa kwao.
Sioni maana ya michuano hii au vinginevyo wafute hi ya cafcl Kisha wote tushiriki ktk michuano hii Bora kbsa barani Afrika.
Nikiwa rais wa caf nitahakikisha michuano hii Naifutilia mbali na bingwa wake namvua ubingwa huu kwani Ni michuano ya kiubaguzi na husda imeandaliwa mahusuzi kuwa nanga vilabu vikongwe na
Ni upuuzi mkubwa bila raja Casablanca kushikishwa nimeumia mno Basi Sina Cha kufanya Zaid niwaombe baya lolote liwakute Simba haswa kufungwa magoli mengi Zaid na Kisha kutia aibu taifa zima na mm nitafurahi mno ingawa wamepata pesa ndefu kwa msimu mmoja tu
Kwako katibu mkuu wa Simba SC bwana GENTAMYCINE natambua umeshiriiki vyema kuinyima raja kuto kushirikishwa.