Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,238
Yes maana Bashu, Huyo Ded Wote ni Presidential appointmentmteule wa raisi huwa anatenguliwa na rais
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yes maana Bashu, Huyo Ded Wote ni Presidential appointmentmteule wa raisi huwa anatenguliwa na rais
So?lakini mbona haiko kwenye mamlaka yake ya uteuzi?
Kwanini...?Bashungwa utafukuzwa kazi soon
MBONA HAIENDANI SASA ? WEWE UKIMUONA MTOTO WA JIRANI KAKOSA UNAWEZA KUMFUKUZA NYUMBANI KWAO? SI LAZIMA UMWAMBIE MZAZI WAKE NDIYO AAMUE?So?
Ukimuona nyani anakula mahindi unakimbia kumwita mwenye gobole?
Huyo DED alishaonywa, hakusikia.MBONA HAIENDANI SASA ? WEWE UKIMUONA MTOTO WA JIRANI KAKOSA UNAWEZA KUMFUKUZA NYUMBANI KWAO? SI LAZIMA UMWAMBIE MZAZI WAKE NDIYO AAMUE?
UNAJUWA NDUGU HATUBISHANI UNAWEZA KUWA RIGHT OR WRONG PIA HATA KWANGU, UNAJUWA MARA NYINGI HUWAGA NASIKIA MAWAZIRI WAKISEMA HATA WAZIRI MKUU NISHAWAHI KUMSIKIA PALE UDART KWAMBA HUYU NAONDOKA NAYE MAANA NI SAIZI YANGU HUYU MKURUGENZI NAWASILISHA KWA MAMLAKA YA UTEUZI KWA MAAMUZI SASA WAZIRI MKUU NA BASHUNGWA NANI MKUBWA HAPO UNAVYYOONAHuyo DED alishaonywa, hakusikia.
Kukosa kibarua haki yake.
Bashungwa katumia madaraka yake vyema.
Viongozi lazima wawjibike sehemu zao za kazi.UNAJUWA NDUGU HATUBISHANI UNAWEZA KUWA RIGHT OR WRONG PIA HATA KWANGU, UNAJUWA MARA NYINGI HUWAGA NASIKIA MAWAZIRI WAKISEMA HATA WAZIRI MKUU NISHAWAHI KUMSIKIA PALE UDART KWAMBA HUYU NAONDOKA NAYE MAANA NI SAIZI YANGU HUYU MKURUGENZI NAWASILISHA KWA MAMLAKA YA UTEUZI KWA MAAMUZI SASA WAZIRI MKUU NA BASHUNGWA NANI MKUBWA HAPO UNAVYYOONA
Nchi hii hata Uongo na Unafiki ni kivutio cha Utalii!Kama unataka kujua Rangi ya Mama Samia Suluhu Hassan gusa senti ya Serikali yake
Ana mamlaka ya kumuwajibisha na sio kutengua uteuzi muwe mnasoma vizur sheria.lakini mbona haiko kwenye mamlaka yake ya uteuzi?
Ana mamlaka ya kumuwajibisha na sio kutengua uteuzi muwe mnasoma vizur sheriaHuyu Bashungwa hafai civics yangu tu ya o level inakinzana na uamzi aliochukua na akienda hivi atatengua wateule wa rais wote kulingana na anavyojickia wallahi
Uteuzi wa Rais haufuatwi kama Biblia su Korzn.Huyu Bashungwa hafai civics yangu tu ya o level inakinzana na uamzi aliochukua na akienda hivi atatengua wateule wa rais wote kulingana na anavyojickia wallahi
Hajafukuzwa kasimamishwa tuYes maana Bashu, Huyo Ded Wote ni Presidential appointment
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app