much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 7,542
- 10,343
ChairmanNa kwenye chama bosi wake nani?
ChairmanNa kwenye chama bosi wake nani?
Kwani Mwenez anatumia kifungu gani kujigeuza yeye ni Rais wa nchi?kwani sheria zimemtaja waziri gani kuwa mwenye kinga ya kushtakiwa??
Tuhuma zake ni nini kwa mfano au mnampikia majungu tuBashe, Takukuru na Polisi pia wanaweza kukuita na kukuhoji.
Nilikuwa najibu kichwa habari cha nyuzi lakini naona wameshakibadilisha.Tuhuma zake ni nini kwa mfano au mnampikia majungu tu
Mwenez huwa hana mipaka.Kuna siku atampigia simu PM Majaliwa jukwaani.Ka-Kimbizi Ka-Kisomali kameanza kudindisha.
Na Chama hakiwezi kumuhoji??"Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
View attachment 2885428
View attachment 2885860
Upo sahihi mkuu kuna Mlevi wa madaraka anakurupuka kutoa Maagizo hata kwa Waziri mkuu"Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Naibu Waziri Mkuu, hawa ndiyo wanaweza kuniita na kunihoji, hakuna mtu mwingine yoyote, watu wajue mipaka yao ya kazi," Waziri wa Kilimo Hussein Bashe.
View attachment 2885428
View attachment 2885860
Samehe bure mkuu, hatufanani kwa uelewa! 😄Mpaka utafuniwe ndio uelewe? Uliingiaje JF kama akili zako ni fupi kiasi hiki ina maana hujui mtiririko wa matukio yanavyoenda?
Wewe ndiye unayetumia akili fake. Tumia akili halisi utaelewa.Hiyo post ni fake.
Aya sasaBashe yuko sawa kwa asilimia100. Hata mimi Makonda hawezi kunihoji.
Makonda anafanya kazi kibwege sana. Anafikiri anaweza kumhoji kila mtu? Mpuuzi kweli.Aya sasa
Yeye ni katibu mwenezi wa itikadi za chama, yeye siyo msimamizi wa ILANI ya chama. Aeneze itikadi za chama asijidai mjuaji na msimamizi wa viongozi wa serikali. Yeye siyo boss wao.Chama kilichounda serikali hii,kwa hiyo chama hicho hakina mamlaka ya kuihoji seriakali yake!?. Ujinga ni mzigo mkubwa sana kichwani.
Huko kwenye chama ataitwa kama mwanachama lkn kama waziri wa kilimo ni wazi hawazidi wanne otherwise aitwe na muhimili mwingineNa kwenye chama bosi wake nani?