Wazir wa Mambo ya Nje wa Iran akiri vinu vyao viriharibiwa vibaya. Ila anasema watarudi tena kurutubisha

Wazir wa Mambo ya Nje wa Iran akiri vinu vyao viriharibiwa vibaya. Ila anasema watarudi tena kurutubisha

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
11,163
Reaction score
22,739
Wakati sisi Wairan wa Samvula Chole, Manzese Majimatitu, Tandale kwa Tumbo, Manzese kwa Mfuga Mbwa, Buguruni kwa Mnyamani na Buguruni kwa Mnyamani tunasema Irani haikuumiziwa Vinu vyake vya kirutubisha Nyuklia.

Waziri akiri viliharibiwa vibaya. Na anasema hawajakoma. Watarudi tena kuanza rutubisha. Tukumbuke pia Israel iliua wanasayansi wengi pia wa hiyo Program. Sasa kidogo hali hii inatuchanganya sisi Makobazi maana tulikubaliana tusema Iran haikuathirika kabisa. Huyu analeta different story. Inaudhi sana.
Screenshot_2025-07-22-12-03-28-830_com.instagram.android~2.jpg
 
Viriharibiwa,halafu wanarudi Tena kurutubisha,,,,huoni unajichanganya?

Kiswahili rahisi,unarutubishaje pameshaaribika?

Mbona taarifa imeandikwa kwa lugha nyepesi. Kwani hivyo vya kwanza walivikuta vimeota nchini? Maana yake watajenga upya na kurutubisha. Au hilo nalo mpaka sheikh kitinku akueleze. Unataka bisha kuwa havikuharibiwa? Au kuwa hawatarutubisha tena? Sioni logic.
 
😂😂 Mkuu jamaa inawauma sana kuona izlail kafeli pakubwa kwa sasa wana tafuta faraja kwa namna yoyote tu.

Wewe upo kwa Mtogole unajipa moyo Izrail kafeli. Waziri wa Mambo ya Nje anasema vimeharibiwa vibaya. Ni kweli kuwa ili uwe Kobazi mzuri lazima ujitoe akili? FM anakiri wewe Kobazi unabisha? 😁
Screenshot_2025-07-22-12-12-35-381_com.android.chrome.jpg
Screenshot_2025-07-22-12-12-47-843_com.android.chrome.jpg
 
Viriharibiwa,halafu wanarudi Tena kurutubisha,,,,huoni unajichanganya?

Kiswahili rahisi,unarutubishaje pameshaaribika?
Mkuu,mimi niliangalia kwa umakini mkubwa picha za Satellite baada ya vinu hivyo kushambuliwa - ni kweli kuna uharibifu ulitokea lakini si kubwa kivile ie ni superficial!! Kuna kinu kimoja ambacho US na Israel walishindwa kukifanya lolote ndio maana Israel ilikuwa inarudi mara kwa mara walao kuziba ventellation shafts, na ukimsikiliza vizuri Trump siku za hivi karibuni hata Jana alisema akiona vipi atarudi tena kuviharibu vinu hivyo, sasa swali kama wana uhakika kwamba walifanikiwa kuviharibu vinu hivyo beyond repair, kwa nini wana entertain suala la kurudi kwa mara nyingine tena??

Kuna kitu hakijakaa sawa hapo ie hawataki kuwa wakweli lakini inaonekana kazi yao walifanya nusu nusu tu ie not properly DONE hilo hawataki kulisema wazi wazi!!
 
Wakati sisi Wairan wa Samvula Chole, Manzese Majimatitu, Tandale kwa Tumbo, Manzese kwa Mfuga Mbwa, Buguruni kwa Mnyamani na Buguruni kwa Mnyamani tunasema Irani haikuumiziwa Vinu vyake vya kirutubisha Nyuklia.

Waziri akiri viliharibiwa vibaya. Na anasema hawajakoma. Watarudi tena kuanza rutubisha. Tukumbuke pia Israel iliua wanasayansi wengi pia wa hiyo Program. Sasa kidogo hali hii inatuchanganya sisi Makobazi maana tulikubaliana tusema Iran haikuathirika kabisa. Huyu analeta different story. Inaudhi sana.
View attachment 3414282
Sasa kobazi wanabisha nini

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Hawataki maumivu... ,🤣 miaka mingi waliaminishwa Iran ni likitu likubwa sana. Kama Russia. Sasa wameona kilichowapata Irani hawataki kuamini wala kukubali.
wewe mchungaji ndio mlidanganya watu kuwa Israel ni dudeeee ulinzi wa Chumaaaa leo aibu kwanzia wachungaji hadi waumini shubamit Iran taifa teule
 

Attachments

  • 476C4773-7CC5-4791-B261-E48F4F2422B7.jpeg
    476C4773-7CC5-4791-B261-E48F4F2422B7.jpeg
    122.1 KB · Views: 14
Mkuu,mimi niliangalia kwa umakini mkubwa picha za Satellite baada ya vinu hivyo kushambuliwa - ni kweli kuna uharibifu ulitokea lakini si kubwa kivile ie ni superficial!! Kuna kinu kimoja ambacho US na Israel walishindwa kukifanya lolote ndio maana Israel ilikuwa inarudi mara kwa mara walao kuziba ventellation shafts, na ukimsikiliza vizuri Trump siku za hivi karibuni hata Jana alisema akiona vipi atarudi tena kuviharibu vinu hivyo, sasa swali kama wana uhakika kwamba walifanikiwa kuviharibu vinu hivyo beyond repair, kwa nini wana entertain suala la kurudi kwa mara nyingine tena??

Kuna kitu hakijakaa sawa hapo ie hawataki kuwa wakweli lakini inaonekana kazi yao walifanya nusu nusu tu ie not properly DONE hilo hawataki kulisema wazi wazi!!
Hili suala wengi mnalisoma bila kuelewa
 
Back
Top Bottom